kwa nini pinda anakwepa kuzungumza na madaktari?

kwa nini pinda anakwepa kuzungumza na madaktari?

meningitis

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2010
Posts
8,425
Reaction score
4,768
wakuu mgomo wa madaktari unaendelea kushika kasi,ni mgomo unaweka historia kwa kuhusisha sehemu kubwa ya tanzania.ninavyoona wizara ya afya imeshindwa kutatua mgogoro huu kwani wao ndio sehemu ya tatizo kwa hiyo ni wazi waziri mkuu anahusika kutatua mgogoro huu kwa sasa.jana ilionekana kama PM ataenda kuwasikiliza madaktari na kujaribu kutatua mgogoro huu.lakini hajafanya hivyo na badala anamtuma waziri wa afya kuongea na waandishi wa habari.tafsiri yangu ni kuwa bado serikali inaendeleza dharau kwa madaktari,bado serikali haijaona madhara ya mgomo huu.kwa nini PM hafanyi uamuzi sahihi wa kukutana na kuwasikiliza madaktari?je anasubiri vifo zaidi vya wapiga kura au anaona ni utani?au anasubiri wananchi waingie mabarabarani?
Pinda kutana na madaktari!! Usisubiri maamuzi magumu ya wananchi.
 
Hana cha kujibu mkulu kaenda Davos yeye atakachosema ni kuwa serikali imeliona jambo hili litafanyiwa kazi kwa mujibu wa sheria. Yaani huyu mtoto wa matajiri ni ajabu maana sio tena mtoto wa mkulima
 
Ni kama baba asiyeweza kuihudumia familia anavyowakwepa watoto
 
Ninachopendea mgomo huu unasupport ya wananchi na govt imeshaona tatizo ndiyo maana haijibu. Napenda uendelee ili wananchi tuungane ili badala ya kudai madai haya sasa tufanye mapinduzi tumtoe huyu mkwe.re na serikali yake ya kishikaji.
 
wakuu mgomo wa madaktari unaendelea kushika kasi,ni mgomo unaweka historia kwa kuhusisha sehemu kubwa ya tanzania.ninavyoona wizara ya afya imeshindwa kutatua mgogoro huu kwani wao ndio sehemu ya tatizo kwa hiyo ni wazi waziri mkuu anahusika kutatua mgogoro huu kwa sasa.jana ilionekana kama PM ataenda kuwasikiliza madaktari na kujaribu kutatua mgogoro huu.lakini hajafanya hivyo na badala anamtuma waziri wa afya kuongea na waandishi wa habari.tafsiri yangu ni kuwa bado serikali inaendeleza dharau kwa madaktari,bado serikali haijaona madhara ya mgomo huu.kwa nini PM hafanyi uamuzi sahihi wa kukutana na kuwasikiliza madaktari?je anasubiri vifo zaidi vya wapiga kura au anaona ni utani?au anasubiri wananchi waingie mabarabarani?
Pinda kutana na madaktari!! Usisubiri maamuzi magumu ya wananchi.
Ameshajua kwamba kwa jinsi huu mgomo unavyoendelea utaisha wenyewe
 
Hebu nikumbushe...Pinda ndio nini?

Yule jamaa anayejiita mtoto wa mkulima, mwenyewe anajifanyaga eti ni mkali kama sura yake ilivyo jaribu kuvuta kumbukumbu. Halafu ni mtu kulialia tu
 
Anafikiri madaktari wanabeeep ngoja aone cha moto wanafikiri mziki huu ndio utatutoa kwenye makucha ya ccm wananchi tuutumie vizuri kuingia tahiriri yetu mnazi mmoja naomba aendelee na mazalau yake hivyohivyo tupate pa kutokea .
 
Jamani nyinyi mnataka kumuonea bure huyu Mizengwe Pinda, mtu ambaye hakuwa na uwezo wa kumuwajibisha Luhanjo mpaka akampigia simu JK akiwa South Africa mnategemea kwenye hili afanye nini?
Na msiniulize kama nchi hii ina makamo wa Rais kile kizee cha Kizanzibar pale ni kama kipo picnic kura raha tu na wake zake, hata kazi yake haijulikani ni nini!!
 
wakuu mgomo wa madaktari unaendelea kushika kasi,ni mgomo unaweka historia kwa kuhusisha sehemu kubwa ya tanzania.ninavyoona wizara ya afya imeshindwa kutatua mgogoro huu kwani wao ndio sehemu ya tatizo kwa hiyo ni wazi waziri mkuu anahusika kutatua mgogoro huu kwa sasa.jana ilionekana kama PM ataenda kuwasikiliza madaktari na kujaribu kutatua mgogoro huu.lakini hajafanya hivyo na badala anamtuma waziri wa afya kuongea na waandishi wa habari.tafsiri yangu ni kuwa bado serikali inaendeleza dharau kwa madaktari,bado serikali haijaona madhara ya mgomo huu.kwa nini PM hafanyi uamuzi sahihi wa kukutana na kuwasikiliza madaktari?je anasubiri vifo zaidi vya wapiga kura au anaona ni utani?au anasubiri wananchi waingie mabarabarani?
Pinda kutana na madaktari!! Usisubiri maamuzi magumu ya wananchi.

anashindwa afanye nini maana hana uamuzi.huyu ni waziri mkuu ktk historia ya nchi yetu kuwa kibogoyo.kwa ufupi ni kama secretary wa JK.hana meno jamani anaogopa atawaambia nn madaktari.acheni mponda raha huko davos arudi ndo atoe maamuzi otherwise tunapoteza muda tu hapa
 
hatuna mda,kinachotakiwa nimaamuzi!pinda wake up!
 
Wanasheria hebu watusaidie, watu wanakufa kwa sababu ya kukosa huduma wakati huu wa mgomo. Je wafiwa wanaweza kumshitaki waziri wa Afya au hata katibu mkuu wizara ya afya kwa kusababisha ukosefu wa matibabu?
 
Wanasheria hebu watusaidie, watu wanakufa kwa sababu ya kukosa huduma wakati huu wa mgomo. Je wafiwa wanaweza kumshitaki waziri wa Afya au hata katibu mkuu wizara ya afya kwa kusababisha ukosefu wa matibabu?
Hakuna jambo linalohitaji wanasheria hapo, kinachotakiwa ni asasi za kiraia kuandaa maandamano makubwa kupinga mauwaji haya yanayofanywa na serikali na ikiwezekana huyu jamaa abaki huko huko Davos aendelee kura kuku.
Hivi Watanzania tunahitaji ishara ipi ili kujuwa kwamba nchi imeshafirisika? nukusi ya bajeti kwa December 2011 ilikuwa ni shilling Billioni 800, tunasubili nini kubadilisha serikali?
 
Huu mgomo umesababishwa na kiburi cha blandina nyoni. Haukupaswa kufikia hapa ulipofikia!
 
hawghasia ameshindwa sasa ni wakati muafaka kwa MP kukutana nao,madai yao yapo wazi na yanahitaji majibu ya wazi na sio tutashughulikia
 
Bosi yuko uswis anakula bata(jk),secretary wake (mp)hawez amua lolote kwa sasa...
 
Back
Top Bottom