Kwa nini psssf inaajiri kwa kujuana bila kutangaza ajira wala kuwapa kipaumbele wanaojitolea?

Kwa nini psssf inaajiri kwa kujuana bila kutangaza ajira wala kuwapa kipaumbele wanaojitolea?

Lonestar

New Member
Joined
Apr 8, 2021
Posts
2
Reaction score
1
Toka mfuko wa psssf uuangane 2019 hujawahi tangaza ajira lakini kila siku wanakuja wafanyakazi wapya ambao hawajafanya interview sehemu yeyote naomba kufahamu mfumo wa kuajiri upoje au kigeso ni mpaka uwe na ndugu.pia nimeshudia tukio moja la vijana waliokuwa wanajitolea kutoka TAESA wote wameachwa alf mkawapa kazi watu wengine uendeshaji wenu upoje kwenye ajira

Kuna vijana wengi waliokuwa wanajitolea kutoka TAESA lakini ajabu wote wameachwa na kuambiwa muda umeisha wakaajiriwa watu wengine ambao hata hawajajitolea kiukwel psssf serekal iiangalie inaendeshwa kihuni sana kuna watu washakuwa miungu watu
 
Wewe unashangaa psssf .....

Asilimia 90 ya cabinet baba zao walishakuwa watu fulani.....ok tuseme ni coincidence basi.

Pigana acha kulilia....hayo machozi yanakupotezea muda.
 
Back
Top Bottom