sina uhakika wa kisayansi ila nadhani mazingira ya vijijini yanachangia kwa kiasi kikubwa kuliko mazingira ya mijini.vijijini mara nyingi mazingira yake yametawaliwa na misitu mikubwa ambayo uvutia zaidi radi kupiga sehemu hizo.
vipi dodoma ambako misitu ni nadharia ya kufikirika?
umedadavua inavyopaswa mkuu, mtoa mada chukua jibu lakoNijuavyo mi radi ni electrical charges ambazo mara zizalishwapo huko mawinguni hutafuta mahala pakupita. Na kitu chochote kilicho kirefu kuliko vingine kina hatar ya kupitiwa na hizi charges kuelekea ardhini. Ni kama utakaposhika waya wenye umeme ulio-uchi wakat uko peku charges za umeme zitaenda ardhini kupitia mwili wako.
Hivyo in short vitu virefu ktk eneo husika viko hatarin zaidi radi itakapopiga. Ndo maana majengo marefu yana waya kutoka juu ya jengo mpaka ardhini kuruhusu charges za radi zipite huko. Kumbuka waya huo unakua mrefu zaidi ya jengo ili ndio uwe wa kwanza kukusanya charges za radi.
Vijijini hasa sehemu za tambarare miti hakuna au vichaka tu binadamu anakua yeye ndio mrefu kuliko kitu kingine ktk eneo husika la radi. Hivyo charges za radi zanakutana na kichwa cha binadamu, zinatumia mwili wake kwenda ardhini. KIFO!
Kama kuna miti mirefu sio ishu kwa sababu mti mrefu kuliko yote ndo itachanwa kwa radi. Na kama uko chini ya huo mti umeushika, wewe na huo mti mtaaga dunia au kujeruhiwa vibaya!
Mi kwa uelewa wangu mdogo nikiona niko eneo tambarare hakuna miti na radi inatandika ntalala chini angalau inaweza kuniokoa. Huenda kuna vitu vingine virefu vitatandikwa na charges za radi.
Asante.
Na hapa napo sio mjini?...Kuna sababu yoyote inayofanya radi isipige mijini?
mkuu una tahadhari sana,ulale chini kwenye mbuga?.Nijuavyo mi radi ni electrical charges ambazo mara zizalishwapo huko mawinguni hutafuta mahala pakupita. Na kitu chochote kilicho kirefu kuliko vingine kina hatar ya kupitiwa na hizi charges kuelekea ardhini. Ni kama utakaposhika waya wenye umeme ulio-uchi wakat uko peku charges za umeme zitaenda ardhini kupitia mwili wako.
Hivyo in short vitu virefu ktk eneo husika viko hatarin zaidi radi itakapopiga. Ndo maana majengo marefu yana waya kutoka juu ya jengo mpaka ardhini kuruhusu charges za radi zipite huko. Kumbuka waya huo unakua mrefu zaidi ya jengo ili ndio uwe wa kwanza kukusanya charges za radi.
Vijijini hasa sehemu za tambarare miti hakuna au vichaka tu binadamu anakua yeye ndio mrefu kuliko kitu kingine ktk eneo husika la radi. Hivyo charges za radi zanakutana na kichwa cha binadamu, zinatumia mwili wake kwenda ardhini. KIFO!
Kama kuna miti mirefu sio ishu kwa sababu mti mrefu kuliko yote ndo itachanwa kwa radi. Na kama uko chini ya huo mti umeushika, wewe na huo mti mtaaga dunia au kujeruhiwa vibaya!
Mi kwa uelewa wangu mdogo nikiona niko eneo tambarare hakuna miti na radi inatandika ntalala chini angalau inaweza kuniokoa. Huenda kuna vitu vingine virefu vitatandikwa na charges za radi.
Asante.
mm nahisi pengine kwa vile mijini hakuna miti mingi ukitaka kuamini chunguza wengi hupigwa na radi wakiwa chini ya miti huko mashambani wakiandaa hayo mashamba,NI MTAZAMO TU
Nijuavyo mi radi ni electrical charges ambazo mara zizalishwapo huko mawinguni hutafuta mahala pakupita. Na kitu chochote kilicho kirefu kuliko vingine kina hatar ya kupitiwa na hizi charges kuelekea ardhini. Ni kama utakaposhika waya wenye umeme ulio-uchi wakat uko peku charges za umeme zitaenda ardhini kupitia mwili wako.
Hivyo in short vitu virefu ktk eneo husika viko hatarin zaidi radi itakapopiga. Ndo maana majengo marefu yana waya kutoka juu ya jengo mpaka ardhini kuruhusu charges za radi zipite huko. Kumbuka waya huo unakua mrefu zaidi ya jengo ili ndio uwe wa kwanza kukusanya charges za radi.
Vijijini hasa sehemu za tambarare miti hakuna au vichaka tu binadamu anakua yeye ndio mrefu kuliko kitu kingine ktk eneo husika la radi. Hivyo charges za radi zanakutana na kichwa cha binadamu, zinatumia mwili wake kwenda ardhini. KIFO!
Kama kuna miti mirefu sio ishu kwa sababu mti mrefu kuliko yote ndo itachanwa kwa radi. Na kama uko chini ya huo mti umeushika, wewe na huo mti mtaaga dunia au kujeruhiwa vibaya!
Mi kwa uelewa wangu mdogo nikiona niko eneo tambarare hakuna miti na radi inatandika ntalala chini angalau inaweza kuniokoa. Huenda kuna vitu vingine virefu vitatandikwa na charges za radi.
Asante.