kwa nini rahia wanajenga chuki na polisi?

richardphq

New Member
Joined
Feb 4, 2013
Posts
1
Reaction score
0
Hoja yangu ya msingi nikwa nini raia wanaweka chuki na polisi wakati jukumu kuu la polisi nikulinda na kusimamia amani ya nchi ili ww raia uishi kwa amani
 
Hoja yangu ya msingi nikwa nini raia wanaweka chuki na polisi wakati jukumu kuu la polisi nikulinda na kusimamia amani ya nchi ili ww raia uishi kwa amani
mfanyakazi yoyote yule asipotimiza majukumu yake yanayompasa ayatimize lazima mtu amuwekee chuki sasa mleta mada ni chuki ipi unayoongelea kwa polisi?
 
Jibu rahisi ni kuwa Hao polisi hawawalindi ila wanalinda kitu kingine kabisa.
Yaani wamekuwa ni watumwa wa kukamilisha shughuli za watu fulani tu. hata majambazi watakamatwa iwapo watagusa kwa mkubwa, mabli na hapo utafiti utakuwa hadi usahau.
Polisi wanapiga na kuua raia bila sababu za msingi zanazosababisha mtu kuuawa.
Polisi wanapindisha mambo ili wachukue rushwa
kwa hiyo polisi hawana msaada sana na wananchi
 
AAh! Jamaa Kumbe post yake ya kwanza!!!
Karibu Jamii forums, Jitahidi kutafuta threads zingine za maana zaidi ili tujadili!
 
Ni tanzania tu ambapo utakuta mtoto amefaulu la saba hajui kusoma wala kuandika ,
 
Jiulize kwanini misri polize haikuchukiwa na wananchi ..jibu hilo ndo litakusaidia kukamilisha research yako.
 
Chuki lazima iwepo kwa sababu polic wanauwa watu na vitu vyenye kali . Polic wengi wamekuwa wajasiriamali zaidi. Wakikukamata mfuko unamiera kidogo basi lazama wakutoe roho na pesa wanachukua. Sasa mijitu kama hiyo lazima tuichukie milele
 
Ni tanzania tu ambapo utakuta mtoto amefaulu la saba hajui kusoma wala kuandika ,
Nini la saba, kuna waliomaliza hata fom foo hawajui kuandika na kusoma? Ila mimi kwa huyu jamaa nimependa hii: "rahia wanaweka chuki na polisi"
 
Rahia? Unamaanisha nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…