Kwa nini serikali haiwatangazi wanaofungwa au kunyongwa ughaibuni kuhusu dawa za kulevya??

Kwa nini serikali haiwatangazi wanaofungwa au kunyongwa ughaibuni kuhusu dawa za kulevya??

bona

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2009
Posts
3,798
Reaction score
1,440
Imekua kama ni ada kwa serikali ya tanzania kukaa kimya hata kwa mambo serious yanayotekea uko duniani hata kama mabo hayo si siri tena kwa level ya uwazi dunia ilipofikia... sijui wanadhan bado ytuko enzi za chama kimoja kwamba habari pekee ni mpaka itangazwe na RTD.
1. watanzania kwa mamia wananyongwa uko china na pakistan na habari zao zinafikishwa kwenye balozi zetu ktk nchi hizo lakini taarifa kwa umma wa watanzania hazifiki achilia mbali kuwataja majina basi hata kutoa hiyo habari lakini majina na habari zao ziko kila mahali kwenye vyombo vya habari vya kimataifa... nadhan hii ni mbaya kwani vijana wengi wanaendelea na kujihusisha na biashara hii labda wangejua kinachoweza wakuta wengejifikir amara mbilimbili.

2. kuna wengine wengi tu wamefungwa kwenye magereza mbalimbali duniani kwa biashara hii.. wengine kesi zao ziko mahakamani lakini serikali ni kimya kama vile si tatizo la nchi.

3. cha kusikitisha ni msiba wa wanajeshi huko darfur kwa utaratibu uleule wa kukaa kimya tu wakaamua wasitangaze majina wakati majina hayo kwenye mitandano ya kijamii na vyombo vya habari vya kimataifa imeshayatoa sijui siri ya nini tenea.

serikali inatakiwa itambue habari sasa ivi ni rahisi sana kupatikana kuliko wanavyodhan ni bora wakajirekebisha badala ya wao kutangaza habari ambayo watu washaisikia muda tu uliopita!!
 
Madawa ya kulevya ni ya vigogo ndio maana hawatangazwi
 
alafu hiki kitengo cha kudhibiti madawa ya kulevya... wao wako bize tu na kukamata wavuta bangi na watafuna gomba(mirungi)!!!!!
 
alafu hiki kitengo cha kudhibiti madawa ya kulevya... wao wako bize tu na kukamata wavuta bangi na watafuna gomba(mirungi)!!!!!
Wako bize kuhakikisha wauzaji hawakatwi, na wako bize kuhakikisha polisi wanam'bambikia madawa mtoto wa Mengi..
 
alafu hiki kitengo cha kudhibiti madawa ya kulevya... wao wako bize tu na kukamata wavuta bangi na watafuna gomba(mirungi)!!!!!
Kitengo cha madawa ya kulevya kipo kwa ajili ya kuhakikisha kuna watu special tuu ndio wajihusishe na biashara hiyo haramu.
Mtu baki ukiingia kichwa kichwa unatolewa kafara.
Sijui kama watu wanafahamu kuwa sehemu ya pato la serikali ya nchi hii linatoka kwenye madawa ya kulevya!
Jeshi linajiendesha kwa biashara ya madawa ya kulevya.
Ishu ya madawa ya kulevya ni complex kuliko inavyodhaniwa. Hakuna binadamu wa kuzuia hii biashara katika nchi hii.
Kitakachofanyika ni kuzuia wajasilia mali wachache wasiotambulika na system lakini madon hawaguswi na vijana wetu watazidi kuharibika mitaani.
 
Wakitangaza vijana wengi wataogopa kujihusisha na biashara ya kulevya. Hivyo biashara yao kuzorota mara baada ya "ma-kontena kupungua".
 
Imekua kama ni ada kwa serikali ya tanzania kukaa kimya hata kwa mambo serious yanayotekea uko duniani hata kama mabo hayo si siri tena kwa level ya uwazi dunia ilipofikia... sijui wanadhan bado ytuko enzi za chama kimoja kwamba habari pekee ni mpaka itangazwe na RTD.
1. watanzania kwa mamia wananyongwa uko china na pakistan na habari zao zinafikishwa kwenye balozi zetu ktk nchi hizo lakini taarifa kwa umma wa watanzania hazifiki achilia mbali kuwataja majina basi hata kutoa hiyo habari lakini majina na habari zao ziko kila mahali kwenye vyombo vya habari vya kimataifa... nadhan hii ni mbaya kwani vijana wengi wanaendelea na kujihusisha na biashara hii labda wangejua kinachoweza wakuta wengejifikir amara mbilimbili.

2. kuna wengine wengi tu wamefungwa kwenye magereza mbalimbali duniani kwa biashara hii.. wengine kesi zao ziko mahakamani lakini serikali ni kimya kama vile si tatizo la nchi.

3. cha kusikitisha ni msiba wa wanajeshi huko darfur kwa utaratibu uleule wa kukaa kimya tu wakaamua wasitangaze majina wakati majina hayo kwenye mitandano ya kijamii na vyombo vya habari vya kimataifa imeshayatoa sijui siri ya nini tenea.

serikali inatakiwa itambue habari sasa ivi ni rahisi sana kupatikana kuliko wanavyodhan ni bora wakajirekebisha badala ya wao kutangaza habari ambayo watu washaisikia muda tu uliopita!!

Pengine sijakuelewa vizuri. Una maana kwamba serikali inawajibika kuwatangazia wananchi pindi mtanzania anapobainika na makosa au kuhukumiwa nje ya nchi?

Sina hakika kama kuna mwandishi au mtafiti aliyeamua kufanya uchunguzi wa kina juu ya biashara ya mihadarati na mustakabali wa vijana letu akanyimwa ushirikiano na balozi, wizara au wizara husika katika serikali yetu.
 
Imekua kama ni ada kwa serikali ya tanzania kukaa kimya hata kwa mambo serious yanayotekea uko duniani hata kama mabo hayo si siri tena kwa level ya uwazi dunia ilipofikia... sijui wanadhan bado ytuko enzi za chama kimoja kwamba habari pekee ni mpaka itangazwe na RTD.
1. watanzania kwa mamia wananyongwa uko china na pakistan na habari zao zinafikishwa kwenye balozi zetu ktk nchi hizo lakini taarifa kwa umma wa watanzania hazifiki achilia mbali kuwataja majina basi hata kutoa hiyo habari lakini majina na habari zao ziko kila mahali kwenye vyombo vya habari vya kimataifa... nadhan hii ni mbaya kwani vijana wengi wanaendelea na kujihusisha na biashara hii labda wangejua kinachoweza wakuta wengejifikir amara mbilimbili.

2. kuna wengine wengi tu wamefungwa kwenye magereza mbalimbali duniani kwa biashara hii.. wengine kesi zao ziko mahakamani lakini serikali ni kimya kama vile si tatizo la nchi.

3. cha kusikitisha ni msiba wa wanajeshi huko darfur kwa utaratibu uleule wa kukaa kimya tu wakaamua wasitangaze majina wakati majina hayo kwenye mitandano ya kijamii na vyombo vya habari vya kimataifa imeshayatoa sijui siri ya nini tenea.

serikali inatakiwa itambue habari sasa ivi ni rahisi sana kupatikana kuliko wanavyodhan ni bora wakajirekebisha badala ya wao kutangaza habari ambayo watu washaisikia muda tu uliopita!!

uliona wap mhusika akajisema
 
nawezaje kujiunga na hii network ya madawa ?nimechoka kuishi masikini hapa nachagua moja kupata au kufa kuliko kuona vigogo wakila na kusaza huku mie nikishindia mlo mmoja
 
Nyie mnaofahamu zileteni hizo habari hapa JF...........umma wa Watanzania watafahamu...........na hiyo siku inakuja......kila kitu kitakuwa hadharani........
 
Back
Top Bottom