mrembo wa kiafrika
New Member
- Apr 18, 2013
- 4
- 3
Kwa Nini serikali huwa inapanga wanafunzi waliotoka shule ya msingi Moja kwenda sekondari Moja darasa Zima isipokuwa tu wale wenye wastani wa A?
Kwa Nini wasiwe wanachanganya wanafunzi kutoka shule zote zilizopo jirani na sekondari hizo?huo upangaji ni kama uhamisho Kwa wanafunzi hao.
Kwa Nini wasiwe wanachanganya wanafunzi kutoka shule zote zilizopo jirani na sekondari hizo?huo upangaji ni kama uhamisho Kwa wanafunzi hao.