Kwa nini serikali inakipendelea sana chuo kikuu cha dar es salaam?

kibheri

Senior Member
Joined
May 18, 2014
Posts
105
Reaction score
39
Wakuu,me naona kama serikali huwa inakipendelea vile chuo kikuu cha dar es salaam,ukiangalia wao wamelia njaa siku mbili tu,wakapewa mkopo wao wakati huo huo vyuo vingine kama mzumbe,sua,muccobs,Dit nk,wao bado wanasota mpaka leo na majibu wanayopewa ni kuwa wawe wavumilivu kwa sababu serikali haina pesa..sasa kama serikali haikua na pesa,iweje hawa wengne wapewe halafu wengine wasipewe,pia hivi sasa tunavoongea udsm wale wanao enda field mwezi ujao wameisha sign pesa zao tayari ila vyuo vingine haijulikani hata hayo majina ya kusign yataenda lini vyuon.ebu tujadili,kwa nin serikali kupitia heslb imeamua kuipendelea udsm pekee na kuvidharau vyuo vingine.what is so special with udsm by the way?
 
Kalenda ya chuo chako inalingana na Kalenda ya UDSM?
 
Semester ya pili mmeanza tarehe ngapi na UDSM Wameanza tarehe ngapi?
 
Eti wanavichukulia kama''vinginevyo''

kwa nin vinaitwa hivo?na kama serikali haioni umuhimu wa vyuo vingine tofauti na udsm,kwa nisi isivifunge kuliko kupoteza pesa zake nyingi kwa kugharamikia vyuo wanavyo vidharau?
 
Usiilaumu serikali...angalia wakubwa wa hapo chuoni kwako (kuanzia VC hadi class rep),wanawajibika sawasawa? Af kuna habari nilisikia ila sina uhakika kama ni ya kweli kwamba vyuo km mzumbe na SUA wengi wanaosoma ni watu wenye pesa zao tofauti na udsm ambapo asilimia kubwa wanasoma wachovu...kwa hiyo pressure ya kudai hela inayotoka udsm haiwezi kufanana na ile inayotoka mzumbe
 
udsm ni chuo cha taifa vingine vya kata
 
sisi tumeanza tarehe 24/february,udsm wameanza 10/march.
Inategemeana boom la pili mlipata lini.Lakini pia semester ya pili inaisha lini? UDSM wanamaliza JULY 4, walitakiwa kupata Boom la pili kwenye tarehe 4 May. mi si msemaji wa bodi lakini ni mawazo yangu tu haya.
 
Umemuuliza Waziri wako wa Mikopo? Umemuuliza Afisa wa Chuo chako anayeshughulikia mikopo? Hapa JF huwezi kupata majibu wala huwezi kupata boom
 
ukizungumzia elimu nchin unamaanisha udsm which z home of intellectual,,,udsm ndo chuo chenye taswira ya kimataifa lo likae akilin mwako
 
tofautisha kati ya kumpa mtu haki yake na kumpendelea, kama Udsm tumepewa haina maana kwamba tumependelewa ila ni kwamba tumepewa haki yetu kwa muda unaofaa
 
Acha kudanganya, na kutoa taarifa usokua na uhakika nazo!, kwanza callender za vyuo huwa ni tofauti, pia mzumbe walifungua chuo tar.10 march, 2014; hivyo basi walitakiwa kupewa pexa yao kuanzia tar. 10 may, 2014 na kwa taarifa yako hela tulisaini tar 12 may, 2014 na tukapewa tar 14 may 2014.
 
Mkuu wa nchi, mkuu wa bodi ya mikopo, mawaziri 90% plus, wabunge 90% plus, wakuu wenye mabenki, wakuu wa hazina, wamiliki wa jf 90%plus woooote hao wamesoma UDSM, unadhani watakubali mahali walipopita waone panazorota? Nyumbani ni nyumbani mkuu.....
 
huyu jamaa kakurupuka.calenda zipo tofauti sanaa.mfano mzumbe..pia mbona siku wanasain tia ni sawa na ud tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…