Kwa nini Serikali isianzishe Mpango wa Kuwapa Pension ya Kila Mwezi Wazee wote?

Kwa nini Serikali isianzishe Mpango wa Kuwapa Pension ya Kila Mwezi Wazee wote?

ChoiceVariable

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2017
Posts
66,537
Reaction score
75,687
Habari wakuu.

Kiukweli inaumiza sana wazee wa Nchi hii waliptumikia Nchi Kwa jasho na Kodi zao hawathaminiwi kabisa..

Sio sawa kwamba inaonekana Kuna ubaguzi mkubwa sana wa kijamii,kwamba Nchi hii inajengwa na Watumishi na Wanasiasa pekee kiasi kwamba Wao ndio wanastahili penseni peke Yao?

Kwamba mkulima na mfanyabiashara hana Haki ya penseni?

Kwamba Serikali imeshindwa walau kuwapa shilingi Laki Moja kuwasitiri Wazee wanaodharirika? Hii sio Haki.

Lazima Serikali ianze Sasa kuwalipa wazee na pia iwatoe kwenye michango Mingi ya Lazima kama Leseni nk..
 
Habari wakuu.

Kiukweli inaumiza sana wazee wa Nchi hii waliptumikia Nchi Kwa jasho na Kodi zao hawathaminiwi kabisa..

Sio sawa kwamba inaonekana Kuna ubaguzi mkubwa sana wa kijamii,kwamba Nchi hii inajengwa na Watumishi na Wanasiasa pekee kiasi kwamba Wao ndio wanastahili penseni peke Yao?

Kwamba mkulima na mfanyabiashara hana Haki ya penseni?

Kwamba Serikali imeshindwa walau kuwapa shilingi Laki Moja kuwasitiri Wazee wanaodharirika? Hii sio Haki.

Lazima Serikali ianze Sasa kuwalipa wazee na pia iwatoe kwenye michango Mingi ya Lazima kama Leseni nk..
Badala ya kuwapa pensheni wanawakata na kuwapa 38%

USSR
 
Wazee wengi kwa kukosa matunzo na fedha wakishastaafu wanakuwa walevi ,ombaomba maana hta watoto wao pia wanawatupa kabisa ,hawana msaada kwao.

Hilo swala litakuwa zuri sana kwao kupata Chochote sio wanakaa kweny vigenge vya kahawa hata pesa ya kununua kahawa hawana wamebaki wanagongea kwa kuleta maneno mengi.
 
Kama ccm wakishindwa basi Chadema mje mjitahidi muwakumbuke wazee wapate social security cover,ni ubaguzi kuwapa Watumishi na kuwaacha wasio kwenye mfumo rasmi wa Ajira.
 
Back
Top Bottom