Charles Makunga
Member
- Oct 4, 2015
- 25
- 10
nigeria wameruhusu mda sana... kuna jamaa wa kuitwa kingTblackhock anapiga hela ndefu kwa pay per view..pia kuna web kama naijauncut na nyinginezo na hata nollywood wameanza kutengeneza softcore mda sanawazo zuri ila bado africa hatujafika uko wenzetu wazungu wametupita maaendelea kwa karne 1 sisi africa tupo nyuma yao kwa karne moja
hebu niwekee hiyo website usiku nikajiburudishenigeria wameruhusu mda sana... kuna jamaa wa kuitwa kingTblackhock anapiga hela ndefu kwa pay per view..pia kuna web kama naijauncut na nyinginezo na hata nollywood wameanza kutengeneza softcore mda sana
KweliMy main aim is, uwepo uhuru wa mtu kutengeneza website, utafute watu wazawa ama watu wa nje ya tz, wacheze X then upost kwenye website yako watu waangalie then upige hela! i think ni wazo zuri maana utalipa kodi kama kawaida na uchumi utaongezeka, na pia vigezo na mashart kuzingatiwa, mfano kuwapima afya wahusika, kuwepo limits za watazamaji eg 18+, mbona nchi za wenzetu ni issue simpo tu na ni ajira kwa watu wengi tu.
Kwa nini serikali isiruhusu waTz kucheza vodeo za X?Kama ni vodeo hakuna shida
😀😀ila sio video
Kwa africa bado hata huo mtandao wa naijauncut.com unaona kuwa bado wana aibu. Mara nyingi hawaoneshi nyuso, wanajifunga vitambaa n.k Hii ni kuoneisha kuwa bado wanahisi jamii haijawakubali.nigeria wameruhusu mda sana... kuna jamaa wa kuitwa kingTblackhock anapiga hela ndefu kwa pay per view..pia kuna web kama naijauncut na nyinginezo na hata nollywood wameanza kutengeneza softcore mda sana
Dah nildhani namjua pekee yangunigeria wameruhusu mda sana... kuna jamaa wa kuitwa kingTblackhock anapiga hela ndefu kwa pay per view..pia kuna web kama naijauncut na nyinginezo na hata nollywood wameanza kutengeneza softcore mda sana
nakumbuka maiaka kama miwili mufindi kuna jamaa walikua wanakuja wanatafuta vijana mtaani then wanarekodi video za x na wahudumu wa bar kwa ujila wa laki moja sijui kama bado wanaendelea na ule ujinga
vodeo bhana sio nzuriKwa nini serikali isiruhusu waTz kucheza vodeo za X?
hahahahah
- Thread starter Charles Makunga
- Start date Today at 12:43 AM