Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Je, imeshawahi kukutokea ukakutana na mtu (wa jinsia tofauti) mka click sana kiasi cha kuanza kujiuliza kwa nini hukukutana naye mwanzo kabla ya kuwa/ kukutana na mtu uliye naye sasa? Kama imewahi kukutokea hivyo, ulikabiliana vipi na hali hiyo?
Yamekukutaa nn bwana NN?
Manake ni juzi juzi tu hapa ulikuwa unatafuta date. Hahahahaaaaaaaa!!
Je, imeshawahi kukutokea ukakutana na mtu (wa jinsia tofauti) mka click sana kiasi cha kuanza kujiuliza kwa nini hukukutana naye mwanzo kabla ya kuwa/ kukutana na mtu uliye naye sasa? Kama imewahi kukutokea hivyo, ulikabiliana vipi na hali hiyo?
Ha ha ha NN..umeanza ni binti Thumuni nini kakuchanganya...usiache mbachao kwa msaala upitao..
Jamani acheni assumptions....
Je, imeshawahi kukutokea ukakutana na mtu (wa jinsia tofauti) mka click sana kiasi cha kuanza kujiuliza kwa nini hukukutana naye mwanzo kabla ya kuwa/ kukutana na mtu uliye naye sasa? Kama imewahi kukutokea hivyo, ulikabiliana vipi na hali hiyo?
Je, imeshawahi kukutokea ukakutana na mtu (wa jinsia tofauti) mka click sana kiasi cha kuanza kujiuliza kwa nini hukukutana naye mwanzo kabla ya kuwa/ kukutana na mtu uliye naye sasa? Kama imewahi kukutokea hivyo, ulikabiliana vipi na hali hiyo?
Komredi mm ilinikuta kitu hiyo,
Alafu mtoto akapoteza mawasiliano mpaka kesho nahaha kumtafuta alinionjesha kama miezi 3 nikanogewa kabisa na kuzimia naambiwa mara ya mwisho alikuwa Dom lakini mawasiliano ndo magumu tena sina namba zake na zangu alisha poteza ndugu yake ambae alikuwa anajua uhusiano wangu na huyo mtoto aliuawa na vibaka maeneo ya Viwandani Moro kwa hiyo nimepoteza kabisa kumbukumbu.
hahaha Binamu na wewe si uweke kwenye Bango
Halafu na ujumbe ameweka kabisa kwenye signatureYamekukutaa nn bwana NN?
Manake ni juzi juzi tu hapa ulikuwa unatafuta date. Hahahahaaaaaaaa!!
Kaka angalia isije ikawa ni ile the highest level of infatuation.......
Je, imeshawahi kukutokea ukakutana na mtu (wa jinsia tofauti) mka click sana kiasi cha kuanza kujiuliza kwa nini hukukutana naye mwanzo kabla ya kuwa/ kukutana na mtu uliye naye sasa? Kama imewahi kukutokea hivyo, ulikabiliana vipi na hali hiyo?
We acha huyu mtoto mpaka kesho naumia roho ananiumiza dah mawasiliano ndo hivyo sijui nae alisha kufa namkumbuka vizuri alikuwa na asili ya Kinyarwanda mtoto pua imechongoka umbo namba 8 dah we acha nilivyo kuwa nakatisha nae maeneo ya Saba saba kule kusagula watu shingo feni tu nilikuwa naenda nae maeneo ya Mazimbu kula mdudu wadau mate yanawatoka tu.
Na wewe sasa ina maana ulimpenda kwao hupajui humjui dada wala mdogo wake wala rafiki
he !