Kwa nini sinema ya Taifa inaitwa 'Royal tour'?

Kwa nini sinema ya Taifa inaitwa 'Royal tour'?

Mwanamayu

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2010
Posts
11,662
Reaction score
6,888
Sinema ya Taifa inaitwa 'Royal Tour'. Kwa nini sinema hii imepewa jina hilo? Maana ya 'royal' hapa ni ipi?

 
Nimegundua uelewa wa Watz wengi ni mdogo sana...
 
Inategemea mwandaaji,

Pia wasimamizi hawakuwa na muda wa kuwaza kukitangaza kiswahili chetu.

Hata ingeitwa TANZANIA YETU lingekuwa jina bora zaidi.
 
Nimegundua uelewa wa Watz wengi ni mdogo sana...
Ni tatizo kubwa zaidi ya tunavyodhani! Uelewa na ufahamu wa mambo ya dunia huko kwa Watanzania wengi ni mdogo kiasi hadi linakuwa janga!

Huwezi kudhani mtu wa siku nyingi humu kama Mamndenyi atakoment utopolo wa kiwango hicho 👆
 
Back
Top Bottom