Young Philosopher
Member
- Apr 10, 2012
- 33
- 2
Nahitaji mwenzi wa maisha mwenye sifa hizi. 1. Awe mwaminifu 2. Mkweli na mpole 3. Elimu Diploma ama Bachelor degree. 4. Kabila yoyote, msukuma, msambaa, mnyakyusa, muha ama mmakonde watapewa kipaumbele. 5. umbo mrefu wastani 165cm-175cm. awe miguu minene mwili wa wastani. 6. awe aidha hajazaa ama ana mtoto mmoja. 7. Dini awe mkristo na mcha Mungu 8. Umri miaka 23-27. SIFA ZANGU 1. Umri miaka 33. 2.Elimu Bachelor degree 3.Dini mkristo 4.Mrefu 180cm umbo wastani maji ya kunde. Tafakari kwa kina.