Young Philosopher
Member
- Apr 10, 2012
- 33
- 2
Duu nilidhan we ni bint!!!!!!!!
Basi muone Madam B muende chumbani muelewane kiutuuzimaaaaaas.......
we Pasco_jr_ngumi hujui kama Madame B mke wa nani? Wewe kijana mtatake radhi shemeji yako,yaani jamvi zima umemuona mke wangu tu
Daaaah, humu ndani mnaoana kiusomi kiusomi........ Yameisha kaka!!! Basi aje huku Uru Kishumundu, nimpe shangazi yangu Dada Neema Y. Masawe
Ulioanza nao tangu unabalehe hadi leo wako wapi?? Tujibu hilo kwanza.Nahitaji mwenzi wa maisha mwenye sifa hizi. 1. Awe mwaminifu 2. Mkweli na mpole 3. Elimu Diploma ama Bachelor degree. 4. Kabila yoyote, msukuma, msambaa, mnyakyusa, muha ama mmakonde watapewa kipaumbele. 5. umbo mrefu wastani 165cm-175cm. awe miguu minene mwili wa wastani. 6. awe aidha hajazaa ama ana mtoto mmoja. 7. Dini awe mkristo na mcha Mungu 8. Umri miaka 23-27. SIFA ZANGU 1. Umri miaka 33. 2.Elimu Bachelor degree 3.Dini mkristo 4.Mrefu 180cm umbo wastani maji ya kunde. Tafakari kwa kina.