njaa itamuua
Naomba kujua sifa za sita zinatoka wapi? Bunge lililo pita aliliendesha vile kutokana namahitaje ya bunge lenyewe .........alifuata upepo wa bunge vinginevyo angetoswa.....hivyo ndivyo ninavyo fahamu mimi.Hanauzalendo wowote na wala hastaili kupata sifa za uzalendo! vinginevyo hatumjui.
Kama ni mzalendo ataje majina ya walio nyuma ya dowans, kama kasema mafisadi wana tafuta fedha kwa ajili ya urais 2015 inamaana ana wajua kwa hiyo awataje kwamajina ilituelewe kuwa ni mzalendo na yupo tayari kuifia nchi yake.
Wazalendo wa CDM hawaja wahi kutafuna maneno hata siku moja, basi afanane nao kwa vitendo kabla ya kuungana nao
Nikosoeni kama nimeongopa.....
Naomba kujua sifa za sita zinatoka wapi? Bunge lililo pita aliliendesha vile kutokana namahitaje ya bunge lenyewe .........alifuata upepo wa bunge vinginevyo angetoswa.....hivyo ndivyo ninavyo fahamu mimi.Hanauzalendo wowote na wala hastaili kupata sifa za uzalendo! vinginevyo hatumjui.
Kama ni mzalendo ataje majina ya walio nyuma ya dowans, kama kasema mafisadi wana tafuta fedha kwa ajili ya urais 2015 inamaana ana wajua kwa hiyo awataje kwamajina ilituelewe kuwa ni mzalendo na yupo tayari kuifia nchi yake.
Wazalendo wa CDM hawaja wahi kutafuna maneno hata siku moja, basi afanane nao kwa vitendo kabla ya kuungana nao
Nikosoeni kama nimeongopa.....
Ningependa kumuona mpiganaji samuel 6 akijiuzuru uwaziri afu akakitema chama cha mafisadi(ccm) na kujiunga chadema ili aongeze nguvu maana mwaka 2015 tunajiandaa kuchukua nchi tukiwa na watu makini na wenye uchungu na nchi kama kina sitta na wengineo kama mp george simbachawene( mbunge wa kibakwe)?
Naomba maoni
Naomba kujua sifa za sita zinatoka wapi? Bunge lililo pita aliliendesha vile kutokana namahitaje ya bunge lenyewe .........alifuata upepo wa bunge vinginevyo angetoswa.....hivyo ndivyo ninavyo fahamu mimi.Hanauzalendo wowote na wala hastaili kupata sifa za uzalendo! vinginevyo hatumjui.
Kama ni mzalendo ataje majina ya walio nyuma ya dowans, kama kasema mafisadi wana tafuta fedha kwa ajili ya urais 2015 inamaana ana wajua kwa hiyo awataje kwamajina ilituelewe kuwa ni mzalendo na yupo tayari kuifia nchi yake.
Wazalendo wa CDM hawaja wahi kutafuna maneno hata siku moja, basi afanane nao kwa vitendo kabla ya kuungana nao
Nikosoeni kama nimeongopa.....