Kwa nini TBC

Mavella

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2011
Posts
459
Reaction score
76
TBC nitelevisheni yetu ya taifa lakini kuipata kwa kutumia dish siku hizi inasumbua sana kwa haya madish yetu ya kichina yani kupata signal ni ngumu sana tofauti tv zingine za hapa TZ imekuwa kama ubc ya uganda mpaka utumie dish la ft 8 au zaidi ndio unaipata, ivi tatizo nini hasa wana jf ?
 

Hakuna dish la kichina wala kijerumani. Inategema hilo dish lako limelengeshwa kuwasiliana na Satelite gani huko juu.

kama dish lako linawasiliana na satelite ambayo haipokei matangazo ya TBC basi hata lingekuwa dish la mjerumani, mjapan ni yale yale.

soma hii therad hapa https://www.jamiiforums.com/technol...v-zote-duniani-zilizoko-kwenye-satellite.html Soma kwa makini commnet zote za watu walichangia utapata mwanga na Elimu zaidi.


  • Kwa hiyo kwabla ya kujibiwa swali lako wataalamu watkuuliza kwanza Dish lako linawasiliana na satelite gani?
 
@mavela yuko sahihi TBC wanapatikana kwa shida sana siku hizi, mwanzoni ilikuwa naipata kwa 45-50% hivi sasa ni 27-30%.
 
Mimi niliko katika saa 24 naweza kuwaona kwa wastani wa masaa mawili tu. Muda uliobaki ni weak au no signal! Tofauti na wenzao ITV, Capital, Star, Channel 10 wanaopatikana siku nzima kwa dish langu la ft 6.
 
hakuna cha kuangalia satelite wala nini, ni kweli TBC siku hz katika dish la futi 6 ni issue kuipata lazima kutakuwa na tatizo
 
Nadhani ndugu utakuwa hujanielewa nimesema tv zote za bongo nazipata kwahiyo ina maana dish langu limelenga INTELSAT 906 @ 64E
 
...Lakini inasemekana TBC ina mitambo mikali kuliko stations zote hapa nchini ati!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…