Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si wewe tu hata mimi sikuelewa jibu alilotoa Kikwete, nakumbuka alijibu muundo wa serikali yake ni kuondokana na utegemezi wa Typewriter na kuanzisha mitandao imsaidie hata anyeomba Viza Sengerema asihangaike kuja Dar, jamani hilo ndilo jibu lake na mimi nisaidieni uwezo wa kufikiri wa huyu mtu.Muundo wa Serikali aliotueleza mheshimiwa JK sikuuelewa vizuri kwenye swali lililoulizwa. Kuna mtu anaweza kutufafanulia vizuri?