Dig the EA
JF-Expert Member
- Dec 7, 2017
- 287
- 279
Salam Sana!
Nimekuwa nikijiuliza bila majibu sahihi kwa yanayotokea duniani na jinsi binadamu tunavyoishi!!
Kila binadamu anakua na kulazimika kutafuta pesa,bila pesa mtu haishi vizuri-swali ni kwamba hakuna maisha ambayo yangewekwa binadamu kuishi bila uwepo wa pesa na matumizi ya pesa!? Pesa imeonekana mataifa makubwa kutawala na kunyonya mataifa madogo! Huwawekea vikwazo vya kiuchumi(pesa) mataifa madogo ili kuzitawala!
Watu wenyewe ktk jamii tunathaminiwa kwa viwango vya kipato na pesa!
Pesa imekuwa chanzo cha matatizo duniani! Watu huuana sababu ya pesa! Taifa hushambulia na kupigana na lingine sababu ya pesa! Utu wa mtu huthaminiwa kwa pesa alizonazo! Pesa ni kama maisha na utu wa mtu!
Swali,je waliotengeneza mfumo wa matumizi ya pesa katika maisha ni akina nani !? Ni nini nia kuu na malengo ya mfumo wa kuishi kwa matumizi ya pesa duniani!? Je dunia na maisha yasingekuwepo bila matumizi ya pesa!? Je mfumo huu ulivyo ni halali kuwepo !?
Mwenye mawazo na maarifa ya kwa nini tunaishi hivi ,tafadhali-mawazo yako,tuelimishane!
Nimekuwa nikijiuliza bila majibu sahihi kwa yanayotokea duniani na jinsi binadamu tunavyoishi!!
Kila binadamu anakua na kulazimika kutafuta pesa,bila pesa mtu haishi vizuri-swali ni kwamba hakuna maisha ambayo yangewekwa binadamu kuishi bila uwepo wa pesa na matumizi ya pesa!? Pesa imeonekana mataifa makubwa kutawala na kunyonya mataifa madogo! Huwawekea vikwazo vya kiuchumi(pesa) mataifa madogo ili kuzitawala!
Watu wenyewe ktk jamii tunathaminiwa kwa viwango vya kipato na pesa!
Pesa imekuwa chanzo cha matatizo duniani! Watu huuana sababu ya pesa! Taifa hushambulia na kupigana na lingine sababu ya pesa! Utu wa mtu huthaminiwa kwa pesa alizonazo! Pesa ni kama maisha na utu wa mtu!
Swali,je waliotengeneza mfumo wa matumizi ya pesa katika maisha ni akina nani !? Ni nini nia kuu na malengo ya mfumo wa kuishi kwa matumizi ya pesa duniani!? Je dunia na maisha yasingekuwepo bila matumizi ya pesa!? Je mfumo huu ulivyo ni halali kuwepo !?
Mwenye mawazo na maarifa ya kwa nini tunaishi hivi ,tafadhali-mawazo yako,tuelimishane!