Kwa nini tupasuke vichwa nini Muungano??tukiachana nao inakuwaje??

Kwa nini tupasuke vichwa nini Muungano??tukiachana nao inakuwaje??

KakaKiiza

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2010
Posts
11,794
Reaction score
9,075
Watanzania tumefika maali tuwe na maamuzi magumu kwa maswala magumu hasa yanayohusu maslahi ya wananchi wa taifa hili, nasikia wenzetu zanzibar wanataka serikali yao kamili na wanahitaji muungano wa mkataba!sasa mimi rai yangu kwanini tusiwaache wazanzibar wakaendelea na maisha yao??na sisi tukanza maisha yetu??Maana tukae tukijua sisi tukikubali serikali ya mkataba ipo siku hawa jamaa watataka wavunje muungano kwa madai hawataki kuendelea na mkataba wa muungano hivyo nisisi kujipanga nakuona nikitugani cha kufanya!juu ya huu muungano!!
Ili baadae tusihaibike!
 
Tatizo tanganyika haipo,ingekuwa rahisi kwa nyinyi wadanganyika kujipanga kama tanganyika ingekuwepo.
 
Back
Top Bottom