Ifike mahali tuache kuiponda timu ya Zalan eti kwa kufanya hawa utopolo wasifurahie ushindi wao wa goli Tisa.
Tukubali tu kuwa wamecheza na timu bora sana.
Hii ndiyo furaha yao ya mwisho tuwaache wafurahie. Maana wachambuzi wao pia wameshawaambia wao ni bora sana kwani Mayele aliwafunga pia Simba goli mbili.
Kwa vile Simba aliweza kuwafunga All ahly basi yanga atawafunga hat trick. Tuwaache tu na hizo hesabu ambazo wao wanaita facts au namba hazisemi uongo.
Mko vizuri utopolo mtabeba ubingwa wa Afrika maana sio kwa mipasi ile na ushindi ule dhidi ya mbabe wa Afrika watu weusi watu kazi.
Hongereni sana
Tukubali tu kuwa wamecheza na timu bora sana.
Hii ndiyo furaha yao ya mwisho tuwaache wafurahie. Maana wachambuzi wao pia wameshawaambia wao ni bora sana kwani Mayele aliwafunga pia Simba goli mbili.
Kwa vile Simba aliweza kuwafunga All ahly basi yanga atawafunga hat trick. Tuwaache tu na hizo hesabu ambazo wao wanaita facts au namba hazisemi uongo.
Mko vizuri utopolo mtabeba ubingwa wa Afrika maana sio kwa mipasi ile na ushindi ule dhidi ya mbabe wa Afrika watu weusi watu kazi.
Hongereni sana