kwa nini uamue kula kuacha kula vyakula vyote vya ngano na juisi, faida yake ni ipi

Upo sahihi lakini tatizo bado ni ZAIDI YA KUBWA kwani vyakula vingi vya mboga mboga vimejaa kemikali za kutosha, achilia mbali samaki (aidha wa maji baridi(tena hawa ndio hatari zaidi) au maji chumvi), ndio utakula taka na kemikali za kila aina kutona na uchafuzi mkubwa wa mazingira ktk water bodies....

Pia ikumbukwe magonjwa haya mengi yasiyo ya kuambukiza (chronic diseases) ka kisukari, shinikizo la damu, magonjwa ya moyo nk., huridhiwa kutoka kizazi kimoja kwenda kingine.
 
Asilimia flani ni ya kurithi lakin pia ulaji una sehemu yake kuchangia

Ya kurithi tutayakataa kiroho kwa kumwomba Mungu[emoji848]
 
Sasa hapo kwenye ulaji tunajikomboaje maana sumu kila kona katika mazingira!?!?
Asilimia flani ni ya kurithi lakin pia ulaji una sehemu yake kuchangia

Ya kurithi tutayakataa kiroho kwa kumwomba Mungu[emoji848]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…