Wanao kinanga chuo kikuu cha Dodoma kwa ubora wa elimu ni waongo. Udom kiko juu kitaaluma kwa kweli hata wanafunzi wanao hitimu udom wanafanya vyema makazini hasa education, na uchumi na uhasibu. Tatizo la udom ni utawala wake wa hovyo kuliko hovyo. Si idara, wala top management pote hovyo tu. Kama serikali ikibadili uongozi wa juu yaani Dvcs kinaweza kubadilika labda. Japo pia kinatumika kisiasa siasa.