MKL
Senior Member
- Mar 2, 2012
- 126
- 77
Yaani kumbe kama Taasisi tajwa hapo juu zisipokuwa na Matukio jukwaa hili linapooza kiasi hiki? jamani kama TCU, HESLB au NACTE hawana matukio basi jitahidini mlio na upeo wakielimu muwe mnapost hata Tafiti mbali mbali ili tunufaike wakati tukisubiri matukio ya hizi taasisi ambazo kuwepo kwake ndio huwa yanachangamsha zaidi Jukwaa hili..
Wasomo tupieni Tafiti za Kisomi humu..........
Wasomo tupieni Tafiti za Kisomi humu..........