sasa na hao watoto waliokufa mdizini manzese wametegewa nao au ? kumbe moto wa kwa mengi umeanzia master bedrom kwake, kwenye kyoyozi nae akiwa ndani (sijui?) lakini hapa kuna wataalamu ukidhani walikuwepo mle ndani watatuambia zaidi hapo ndipo habari hii itakuwa UMBEA HIGH QUALITY 5 Star !
Watu hawapendi/hawataki kuchangia mambo ya Elimu. Watu, waTz, hawapendi mambo magumu. Pia, hili linaonekana kama ni jukwaa la wanafunzi wa sek. na vyuo (hususani mwaka wa 1). Ndio maana mada uchwara za 'chuo W ni bora kuliko chuo '.
Nitabaki kuwa msomaji, na ikibidi, nitachangia pale penye mada na mawazo ya kisomi.