Kwa nini ukila Zege lazima unywe soda?

Kusema ukweli chips kuku, chips samaki, chips mishikaki mara nyingi huwa nakula tena mara 4 kwa wiki,
Lakini kwa upande wa chips yai huwa nakula mayai ya kienyeji tu.

Kinywaji ambacho napendelea ni coca cola hakika sitaweza kuacha kinywaji hiki maana nakunywa kila siku yaani kwa siku nakunywa mara 2.

Kuhusu wali, ugali, sijui vyakula vingine huwa nakula kwa mara chache sana tena nikipenda.
 
Na twakwimu zinasema wanaume wa mikoani hawajawah kutongeza wanawake wa dar Bali huwa wanahurumiwa2
Ukweli ni kwamba wanawake wa Dar wanatupenda sana sisi wa mikoani.Hoja ya Kutuhurumia ni gia tu. Mikoani ni matango tu Hakuna vibamia. Chips na chocolate kwa wanaume watu wazima ni haramu. Hivi kweli baba mzima unakula chocolate!!!??? Du! ama kweli, Wonders will never end!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Punguani Wa head

Hivi hufahamu kuwa Chocolate inaongeza IQ na kuimalisha nguvu za kiume?
 
Hivi kwa nini ukila chips yai (zege) lazima unywe soda? tena mara nyingi utakuta pepsi,mirinda nyeusi au soda za rangi ya orange (fanta au mirinda) mara chache sana soda za kijani.
Sio lazima mkuu ni wewe mwenyewe kuamua kunywa au kutokunywa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…