Kwa nini Utumishi wanachelewa kuita waombaji kwenye usahili?

Kwa nini Utumishi wanachelewa kuita waombaji kwenye usahili?

Mejasoko

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2019
Posts
298
Reaction score
600
Hivi wakuu Kuna post zilitangazwa na PSRS yaani utumishi kutoka TRC position ya Senior Commercial Officer na deadline ilikua October mwaka jana ila mpaka Leo hakuna call for interview shida itakua ni nini? wakati TRC nao wanacall watu kwa interview lakini mpaka Sasa kwa hiyo post kimya,
na pia Kuna nyingine ya SINOTASHIP pia kimya hadi Leo, shida inakua ni nini?
Nje ya madam kidogo: Pia kwa Nini PSRS wanashindwa kuzingatia kuhusu "and related field" katika Muktadha huo na kupelekea utitiri wa failed application or not shortlist due to irrelevant degree program?
 
Hivi wakuu Kuna post zilitangazwa na PSRS yaani utumishi kutoka TRC position ya Senior Commercial Officer na deadline ilikua October mwaka jana ila mpaka Leo hakuna call for interview shida itakua ni nini? wakati TRC nao wanacall watu kwa interview lakini mpaka Sasa kwa hiyo post kimya,
na pia Kuna nyingine ya SINOTASHIP pia kimya hadi Leo, shida inakua ni nini?
Nje ya madam kidogo: Pia kwa Nini PSRS wanashindwa kuzingatia kuhusu "and related field" katika Muktadha huo na kupelekea utitiri wa failed application or not shortlist due to irrelevant degree program?
Nachoweza kukusihi ni kukwambia Kijana pambana
 
Back
Top Bottom