Nobunaga
JF-Expert Member
- Mar 22, 2019
- 1,205
- 5,121
Nilikuwa nasikiasikia tuu watu wakisema hivi vinywaji type ya "___ Energy" vinaongeza nguvu ya mwili na ashki ya mapenzi, pamoja na sifa zingine zingine ila nikawa siamini.
Kutokana na maneno maneno mengi kuhusu hizi aina za vinywaji, basi sikuvutiwa navyo sana na niliamua kukaa navyo pembeni na sikuwahi kuvitumia huko nyuma.
Sasa leo bahati mbaya nikawa niko mahali na nina kiu ya soda sana. Muuzaji akawa hana soda nyingine tofauti na hizi Energy. Basi nikapiga moyo konde nikaipiga hivyohivyo kisha nikasepa zangu nyumbani.
Ila sasa mabadiliko ya mwili niliyoyasikia yalikuwa tofauti kabisa na nikinywa soda zingine. Niseme tuu mjuba alisimama kwa fujo, huku mapigo ya moyo yakiongezeka mara dufu bila sababu yoyote ile.
Swali ninalojiuliza hapa ni usalama wa hizi Energy drinks ambazo zinapendwa sana vijana huko mitaani. Serikali hasa TMDA imevifanyia uhakiki wa kutosha kweli kuhakikisha hakuna "Kitu cha nyongeza" kinachowekwa?
VIJANA CHUKUENI TAHADHARI.
Kutokana na maneno maneno mengi kuhusu hizi aina za vinywaji, basi sikuvutiwa navyo sana na niliamua kukaa navyo pembeni na sikuwahi kuvitumia huko nyuma.
Sasa leo bahati mbaya nikawa niko mahali na nina kiu ya soda sana. Muuzaji akawa hana soda nyingine tofauti na hizi Energy. Basi nikapiga moyo konde nikaipiga hivyohivyo kisha nikasepa zangu nyumbani.
Ila sasa mabadiliko ya mwili niliyoyasikia yalikuwa tofauti kabisa na nikinywa soda zingine. Niseme tuu mjuba alisimama kwa fujo, huku mapigo ya moyo yakiongezeka mara dufu bila sababu yoyote ile.
Swali ninalojiuliza hapa ni usalama wa hizi Energy drinks ambazo zinapendwa sana vijana huko mitaani. Serikali hasa TMDA imevifanyia uhakiki wa kutosha kweli kuhakikisha hakuna "Kitu cha nyongeza" kinachowekwa?
VIJANA CHUKUENI TAHADHARI.