Kwa nini viongozi wa Simba wanaonekana ni genge la wahuni? Ona viongozi wote wako Lupango.

Kwa nini viongozi wa Simba wanaonekana ni genge la wahuni? Ona viongozi wote wako Lupango.

Ududu

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2013
Posts
1,020
Reaction score
556
Naomba kuuliza kama kuna historia yoyote kati ya Simba Sc na uhuni/umafia maana viongozi wake wengi kutwa wako mahakamani kwa makosa ya jinai.

Tunayo mifano mingi kuanzia Rais Eveva, Makamo wake Kabulu, Hanspope, na Manara.. Ukirudi nyuma kuna watu kama Rage na Hassan Hasanoo ambao walifungwa kutokana na jinai mbali mbali.

Je tatizo ni nini?
 
tangu ianzishwe na mganga wa kienyeji mwanamke simba ni li-timu la ovyo ovyo linaloongozwa na ma-'mission town' yaani wao ni full maujanja ujanja tuu, na ndiyo wanao uhujumu na ku-uwa ya mpira wa Tz, wao bila figisu figisu hawashindi mechi yoyotee,
siku zote wanawatanguliza mbele 'friends of simba' ambalo ni genge la wahuni na matapeli ili kushinda mechi zao hata kama ni za kirafiki, bahati mbaya sana kwa sasa wamekutuna na serikari ya 'jiwe' inayoongozwa na 'vichaaa' wanawashiwa moto sasa!......siku zote tunawaambia njoooni kwenye chama la wana yaani timu ya wananchiii tulisakatee kabumbu.....
 
John Chenge, Seth, Rugemalila na wao ni mashabiki wa simba! Yule Manara hata alipokuwa katibu mwenezi wa Ccm - Dsm alikumbwa na skendo za wizi wizi! Wanaamini katika wizi
 
tangu ianzishwe na mganga wa kienyeji mwanamke simba ni li-timu la ovyo ovyo linaloongozwa na ma-'mission town' yaani wao ni full maujanja ujanja tuu, na ndiyo wanao uhujumu na ku-uwa ya mpira wa Tz, wao bila figisu figisu hawashindi mechi yoyotee,
siku zote wanawatanguliza mbele 'friends of simba' ambalo ni genge la wahuni na matapeli ili kushinda mechi zao hata kama ni za kirafiki, bahati mbaya sana kwa sasa wamekutuna na serikari ya 'jiwe' inayoongozwa na 'vichaaa' wanawashiwa moto sasa!......siku zote tunawaambia njoooni kwenye chama la wana yaani timu ya wananchiii tulisakatee kabumbu.....
Aisee, kumbe Manara kaanza kitambo sana umafia
 
Naomba kuuliza kama kuna historia yoyote kati ya Simba Sc na uhuni/umafia maana viongozi wake wengi kutwa wako mahakamani kwa makosa ya jinai.

Tunayo mifano mingi kuanzia Rais Eveva, Makamo wake Kabulu, Hanspope, na Manara.. Ukirudi nyuma kuna watu kama Rage na Hassan Hasanoo ambao walifungwa kutokana na jinai mbali mbali.

Je tatizo ni nini?
Kwa kuangalia rangi za timu, sitofautishi wanachofanyiwa simba, na wanachofanyiwa chadema, kwa hiyo fanya judgement mwenyewe
 
Back
Top Bottom