Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ni kutokana na benki yenyewe inavyotaka 'profit margins' na timing ya soko lenyewe.
Ukiwa na bargaining power kubwa huweza kuapata rate nzuri. Mfano leo nilikuwa nalipa randi ya s/africa, nilipiga barclays wakanambia 1zar=230 tshs, baada ya kubargain wakanipa kwa shs 224.
Kwa hiyo hakuna control katika hilo harta waisema 1USD wana-charge ka sh 800 ni sawa?