Kwa sababu siku hizi ni rahisi kugunduliwa na pia maisha yetu ya kisasa tumekuwa tukiwiga wazungu wa majuu. Hii ndiyo tunaona ni fakhari. Kumbe vyakula vyetu vya kijijni ni much heathier. Causes: Excessive drinking, Smoking, refined foods, too much oils in food, some medications can lead to type 2 diabete. Beware..... anza kuchagua vyakula kujikinga na fanya mazoezi.