Ahahahaah! Sijawahi sikia hii, huenda kuna ukweli. Tusubiri wataalamu wa kuiba na waliowahi kushuhudia watupe uzoefu!
Katavi umenichekesha eti wataalamu wa kuiba!!! Ngoja tuone kama watajitokeza!!!
Na pia humu kuna wanachama wa chama fulani kinaitwa sijui "Inf......." Walikuwa wanaijadili katiba yao kipindi fulani, wao haya mambo watakuwa wanayajua, tuwasubiri!!Katavi umenichekesha eti wataalamu wa kuiba!!! Ngoja tuone kama watajitokeza!!!
Na pia humu kuna wanachama wa chama fulani kinaitwa sijui "Inf......." Walikuwa wanaijadili katiba yao kipindi fulani, wao haya mambo watakuwa wanayajua, tuwasubiri!!
Tunakusubiri!Nakuja mara moja tu pls
Ndugu zangu,
Inasemekana kuwa ni rahisi sana kwa mwanaume aliyeoa kumshawishi hawala yake wafanyie mapenzi nyumbani kwa mwanaume kuliko mwanamke aliyeolewa kumshawishi hawala yake wafanyie mapenzi nyumbani kwa mwanamke. Inasemekana pia kwamba mwanamke akishawishika hujisahau kiasi cha kuvaa hata kanga na ndala za mke wa mwanaume na kutoka navyo nje asubuhi bila wasiwasi hatua ambayo ni ngumu sana kuifikia mwanaume. Eti wanaume wakati wote akili zao akili huwa zinawaza fumanizi.
Jamani, kuna ukweli wowote kuhusu hoja hii?
Ndugu zangu,
Inasemekana kuwa ni rahisi sana kwa mwanaume aliyeoa kumshawishi hawala yake wafanyie mapenzi nyumbani kwa mwanaume kuliko mwanamke aliyeolewa kumshawishi hawala yake wafanyie mapenzi nyumbani kwa mwanamke. Inasemekana pia kwamba mwanamke akishawishika hujisahau kiasi cha kuvaa hata kanga na ndala za mke wa mwanaume na kutoka navyo nje asubuhi bila wasiwasi hatua ambayo ni ngumu sana kuifikia mwanaume. Eti wanaume wakati wote akili zao akili huwa zinawaza fumanizi.
Jamani, kuna ukweli wowote kuhusu hoja hii?
Sijawahi "KUIBANA"
Sijui "KUIBANA"
Sitokuja "KUIBANA"
Ukimuona Lucy Kibaki mwambie namsalimiaHilo nalifahamu nakutakia kila la heri
Katavi umenichekesha eti wataalamu wa kuiba!!! Ngoja tuone kama watajitokeza!!!
Ukimuona Lucy Kibaki mwambie namsalimia