Kwa nini Wakoloni waliwanyonga babu zetu

Kwa nini Wakoloni waliwanyonga babu zetu

BABA SANIAH

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2013
Posts
4,606
Reaction score
5,922
Salaaaaam kwenu wote jukwaaani"

Ninapotafakari hili suala kwa kweli huwa nakosa majibu maridhawa Waarabu`wajerumani na waingereza hawa wote kwa nyakati tofauti walikuja kuchukua mali na kututawala"

Babu zetu walipofanya resistance kuna sehemu walifanikiwa na kwingine hawakufanikiwa" Pale ambapo walishindwa basi walikamatwa na kunyongwa hadi kufa"sasa najiuliza kosa la babu zetu lilikua nini hadi wakamatwe kwao na wakoloni na wanyongwe kwao huku baadhi ya hao babu zetu wakiwa wanawaunga mkono wakoloni"

Hivi kama babu zetu walinyongwa je sisi watatupenda" Kama kuna mtu anawapenda awapende tun"nawasilisha kwa wachangiaji zaidi
 
Hayo maswali muulize rais wako kwa kuwa alisema anawashukuru wajeruman kwa mema waliyotutendea eti ikiwepo kujenga ikulu ya magogoni.
 
Salaaaaam kwenu wote jukwaaani”

Ninapotafakari hili suala kwa kweli huwa nakosa majibu maridhawa Waarabu`wajerumani na waingereza hawa wote kwa nyakati tofauti walikuja kuchukua mali na kututawala”

Babu zetu walipofanya resistance kuna sehemu walifanikiwa na kwingine hawakufanikiwa” Pale ambapo walishindwa basi walikamatwa na kunyongwa hadi kufa”sasa najiuliza kosa la babu zetu lilikua nini hadi wakamatwe kwao na wakoloni na wanyongwe kwao huku baadhi ya hao babu zetu wakiwa wanawaunga mkono wakoloni”

Hivi kama babu zetu walinyongwa je sisi watatupenda” Kama kuna mtu anawapenda awapende tun”nawasilisha kwa wachangiaji zaidi

Mkuu, walikuwa wana eliminate adui zao. Enzi hizo Colonialism ilifanywa direct na indirect lakin after abolition wa colonialism wamekuja na mbinu mpya ya Neo colonism, kunyonga na kuua wale wanaowapinga hawajaacha wanafanya kama kawa either indirect kwa ku create bad image ya kiongozi husika kwa wananchi wake, hapa ndio ataitwa dictator au kwa kutengeneza matukio ya kigaidi (magaidi wapo baadhi ya sehemu).

SO HIZI HARAKATI HAZIJAISHA SEMA SASA HIVI ZINAFANYWA AKILI ZAIDI
 
hujasoma history???
mbona maswal ya fom 3,çhukua masterz ya history xoma utapata majib yako
wacha uvivu
 
Salaaaaam kwenu wote jukwaaani”

Ninapotafakari hili suala kwa kweli huwa nakosa majibu maridhawa Waarabu`wajerumani na waingereza hawa wote kwa nyakati tofauti walikuja kuchukua mali na kututawala”

Babu zetu walipofanya resistance kuna sehemu walifanikiwa na kwingine hawakufanikiwa” Pale ambapo walishindwa basi walikamatwa na kunyongwa hadi kufa”sasa najiuliza kosa la babu zetu lilikua nini hadi wakamatwe kwao na wakoloni na wanyongwe kwao huku baadhi ya hao babu zetu wakiwa wanawaunga mkono wakoloni”

Hivi kama babu zetu walinyongwa je sisi watatupenda” Kama kuna mtu anawapenda awapende tun”nawasilisha kwa wachangiaji zaidi
Ili wasije kufanya tena resistance
 
Back
Top Bottom