Kwa nini wananwake hukata tamaa mapema?

jamii01

JF-Expert Member
Joined
Oct 1, 2010
Posts
1,983
Reaction score
1,423
Jamani nauliza kwa nini wanawake huwa wanakata tamaa mapema pale anapoona umri wake wa kuolewa unazidi kwenda kama miaka 30 na kuendelea kuliko mwanaume kukata tamaa ya kuoa pale ambopo umri wake naye huwa mkubwa lakini bado huwa ni mvumilivu hata kama anapata madongo mwengi kutoka kwa washikaji na ndugu zake..bado huwa ana moyo wa kuvumilia kuliko mwanamke??
 
Simple, kwa mwanamke menopause inakaribia, atazaa kwa kisu, vijana wa kuoa beyond 30 wanapungua, pressure inaongezeka toka kwa nduguze, anajihisi ana mkosi au siyo mzuri.
kwa mwanaume, hakuna menopause, huwa habebi mimba, mbegu zake zipo tu hadi miaka 80, anaweza kuoa mtoto wa miaka 20 wakati yeye ana 50, huwa hawajali sana pressure ya ndugu. Pia hawapendi sana kuwahi kufuga kuku wakati wanaweza kupata mayai kiurahi.
Nitarejea baadaye ngoja nimalizie kavaleur kangu.
 
Kwasababu huwa wanapenda kuolewa wakiwa bado vibinti vidogo.
 
Kwasababu huwa tunapenda kuolewa tukiwa bado vibinti vidogo.
 
they afraid god much than men,,,,,,,,,, imean they affraid (kuzini)thats all,,,
 
Japo sijakuelewa, lakini nadhani ni kwamba kwanza jinsi wanavyoendelea na umri hata ile critical beauty inapotea nahivyo wakumapproach kutongoza wanapungua, likely asiolewe tena na ndipo matusi yantokea kila upande
they afraid god much than men,,,,,,,,,, imean they affraid (kuzini)thats all,,,
 
sasa hujanielewa na mi pia sjakuelewa matusi yajaje sasa???????
Japo sijakuelewa, lakini nadhani ni kwamba kwanza jinsi wanavyoendelea na umri hata ile critical beauty inapotea nahivyo wakumapproach kutongoza wanapungua, likely asiolewe tena na ndipo matusi yantokea kila upande
 
Hahaaa umri wa kuzaa unabita bana
 
Matusi yanatoka kwa akina dada/mama na hawa ndo waharibifu wakubwa maana wana maneno ya kumfrastrate mwenzao kwa kutumia mifano halisi
Nahapo ndipo mtu ambaye haoni mwelekeo wa kuoolewa anakata tamaa, na hapa ndo hatari maana akitoke mdanganyifu mmoja anamharibia binti huyo.
Lakini wadada wana maneno ya kimatusi sana na wanazungumza waziwazi kuwashawishi wenzao kutafuta wanaume- ndo matusi yeneyewe
sasa hujanielewa na mi pia sjakuelewa matusi yajaje sasa???????
 
are you sure for what you are talking???????????
 
Wanakuwa wametumika sana na hali ya kuzaa inafifia na kuogopa matatizo ya uzazi :A S-alert1:
 
Hii ni suure kwa asilimia 200
angaliamfano mzuri hata mashuleni wadada ndo wanshauriana kwa mambo haya, rerely kwa wavulana na pengine wavulana hawajadili kabisa kuhusu masuala haya. Sikiliza huo upade. Ndo mafrastrater wakubwa kwa wenzao
are you sure for what you are talking???????????
 

Malizia bwana, wasije wakaingia nzi bure!
 
Wanakuwa wametumika sana na hali ya kuzaa inafifia na kuogopa matatizo ya uzazi :A S-alert1:

u got it, excellent..!!!!! 100% keep it up, wakicheki ngoma iko used, kapigwa misele kadhaa, kadanganywa hadi basi, umri wake akiangalia clock ni saa 8:59 mchana, na hana imani na mwanaume tena, sasa anakata tamaa, ukimwona utajua tu, her FACE tells everything if u look deep, deep.
 
eeennheeee.... sasa na mimi ndio nikakwambia ya kuwa waschana huogopa sana mungu,,,yaani huogopa kuzini kuliko wanaumeee,,,,,sasa ndio wakichelewa kuolewa wanapata kawasi wasi fulani hiviii,,,, mana kama ulivyosema huwa wanadiscuss sana mambo ya kuolewa wakiwa school while wavulana wao wala hawanayo na wanayowaza wao ni kufukuzia vibinti mule mule shule kungonoka naooo,,,, wanaume hupenda sana kuzini kuliko wanawake mi pia ntaanzisha thread yangu kama hii halafu kidoogo,,,
Hii ni suure kwa asilimia 200
angaliamfano mzuri hata mashuleni wadada ndo wanshauriana kwa mambo haya, rerely kwa wavulana na pengine wavulana hawajadili kabisa kuhusu masuala haya. Sikiliza huo upade. Ndo mafrastrater wakubwa kwa wenzao
 
and for sure my boy hakuna kitu kinachoitwa asilimia 2oo katika maths wala physics,,, hapo umetoka njee ya bracket...
Hii ni suure kwa asilimia 200
angaliamfano mzuri hata mashuleni wadada ndo wanshauriana kwa mambo haya, rerely kwa wavulana na pengine wavulana hawajadili kabisa kuhusu masuala haya. Sikiliza huo upade. Ndo mafrastrater wakubwa kwa wenzao
 
Because we are smart and not ready to fight! unamuacha anayekuchelewesha unaenda kwa aliye tayari, mana wapo men pia ambao ni desperate!!!


 
alafu nanyi wanaume mkiambiwa mnaachwa mnaanza kulia ovyo wakati mkiambiwa commitment mnakuwa not ready always....msshhhy
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…