Grader
JF-Expert Member
- Feb 23, 2009
- 445
- 64
Nimefuatilia kwa kipindi kirefu na uchunguzi wangu wa kina ukagundua wanasiasa wengi ni warefu sijajua biologically related to political issue kwa nini wanasiasa wengi ni warefu.
Na mbaya au nzuri zaidi wakipata madaraka kwa muda mfupi tu huwa nywele zao huwa zinabadilika na kuanza mvi kwa haraka, sijui kwa nini .
WATAALAMU NISAIDIENI JE HATA MIMI NINA UREFU WA 150cm 25yrs NITAKUWA MREFU NIKIINGIA KWENYE SIASA?
Na mbaya au nzuri zaidi wakipata madaraka kwa muda mfupi tu huwa nywele zao huwa zinabadilika na kuanza mvi kwa haraka, sijui kwa nini .
WATAALAMU NISAIDIENI JE HATA MIMI NINA UREFU WA 150cm 25yrs NITAKUWA MREFU NIKIINGIA KWENYE SIASA?