Kwa nini wanaume wanapoachika wanakonda sana??

Kwa nini wanaume wanapoachika wanakonda sana??

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Samahani kama ni muathirika wa hili??
Lakini tupo kwenye research mmejiuliza kwa nini wanaume wanakonda wakiachika
 
wanaume wa kihindi..........? (wahindi ndio wanawake wanaoa/ wanaume wanaolewa)
 
Kumbe mwanaume anaachika aisee nilikuwa sijui
 
Kama kweli unampenda mwenzza wako (sio kumtaperi) jaribu kuwa mbali naye then utakuja na majibu.
 
care hakuna mawazo and ainwezekana muda waliotalikiana ndo anoana umuhimu wa huyo mkewe mawazo ndo yanawakondesha nnamfano hai ktk hili bb mdogo wangu mpk kachakaa lkn mama mdogo anazidi kunawili sababu yeye alikua sababu kutwa nzima kumpiga mwanamke na kulala na wanawake wa nje
 
Kwasababu hupata mawazo ya kuvikosa walivyokuwa wanavipata.
 
inategemea kama alikuwa anapata vyombo vya nguvu lazima a date tu hata kama alikuwa na vimeo nje lazima kuna sehemu huwa wanaume hawapumui wala kufurukuta dawa yao nikuwapa vyombo safiiiiiiiiiii taratibu then unampepea unafukiri akisikia kuachwa inakuwaje hapo full majotrooooooooo
 
Back
Top Bottom