inategemea kama alikuwa anapata vyombo vya nguvu lazima a date tu hata kama alikuwa na vimeo nje lazima kuna sehemu huwa wanaume hawapumui wala kufurukuta dawa yao nikuwapa vyombo safiiiiiiiiiii taratibu then unampepea unafukiri akisikia kuachwa inakuwaje hapo full majotrooooooooo