C chetuntu R I P Joined Jan 10, 2011 Posts 949 Reaction score 111 Feb 7, 2011 #21 Siku hizi hata mahospital wanadiscourage sana kukandana ni utamaduni na mila tu, kwamba through kukandwa unasafishika.
Siku hizi hata mahospital wanadiscourage sana kukandana ni utamaduni na mila tu, kwamba through kukandwa unasafishika.
Ba Martha JF-Expert Member Joined Aug 13, 2010 Posts 349 Reaction score 107 Feb 7, 2011 #22 ila mazee tuwaheshimu akina mama...ujauzito na malezi in general sio kama nahii....kila mtu anao...ile hali ni kitu kingine jamani....i love u all akina mama.
ila mazee tuwaheshimu akina mama...ujauzito na malezi in general sio kama nahii....kila mtu anao...ile hali ni kitu kingine jamani....i love u all akina mama.
Baba_Enock JF-Expert Member Joined Aug 21, 2008 Posts 7,076 Reaction score 2,457 Feb 7, 2011 #23 KakaKiiza: Una haraka gani bwana mdogo? Kua, Oa, pata mtoto, nenda bafuni na mkeo akijifungua msaidie kumkanda!
KakaKiiza: Una haraka gani bwana mdogo? Kua, Oa, pata mtoto, nenda bafuni na mkeo akijifungua msaidie kumkanda!