Lady Whistledown
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 1,147
- 2,008
Wakuu,
Huu msemo wa adui wa Mwanamke ni Mwanamke tunaushuhudia sana mtandaoni
Yaani Mdada akipost kavaa kakimini kake sjui, mwenzie ndo atakuja kumwambia "Unavaa hivyo na vimiguu kama unacheza Judo"🤣🤣🤣🤣
Hawana huruma hata kidogo. Jamani huu ni unyanyasaji, unaitwa Body Shaming
Lakini wengine wanasemaga wao wanasema ukweli na hawajui kama ni Unyanyasaji
Wanawake acheni kuwabody shame wenzenu please
Mnalalamika Wanaume ni wanyanyasaji kumbe na nyie mnashiriki kuwaumiza wengine kwa kujua au kutokujua
Kama usingependa kufanyiwa jambo usimfanyie mwingine, iwe mtandaoni au mtaani
Usiku Mwema
Huu msemo wa adui wa Mwanamke ni Mwanamke tunaushuhudia sana mtandaoni
Yaani Mdada akipost kavaa kakimini kake sjui, mwenzie ndo atakuja kumwambia "Unavaa hivyo na vimiguu kama unacheza Judo"🤣🤣🤣🤣
Hawana huruma hata kidogo. Jamani huu ni unyanyasaji, unaitwa Body Shaming
Lakini wengine wanasemaga wao wanasema ukweli na hawajui kama ni Unyanyasaji
Wanawake acheni kuwabody shame wenzenu please
Mnalalamika Wanaume ni wanyanyasaji kumbe na nyie mnashiriki kuwaumiza wengine kwa kujua au kutokujua
Kama usingependa kufanyiwa jambo usimfanyie mwingine, iwe mtandaoni au mtaani
Usiku Mwema