The Great Architec
Member
- Aug 19, 2012
- 86
- 17
Hawapati athari ya continuous assessments. Tofauti ya P na S katika hili ni kwamba P yeye 100 yake na 0 yake ni siku ya mtihani. Hivyo akifaulu anakuwa amefaulu na kama amefeli amefeli. S wao continuous assessments zinasaidia kustandardize marks zao. Matatizo ya P:1. Wanakosa mwongozo sahihi wa kitaaluma kwa walimu:2. Wanaosoma elimu ya miaka miwili kwa mwaka mmoja au miaka minne kwa miaka miwili hawawazi kuiva kama S aliyefundishwa vizuri kwa miaka miwili au minne:3. Kutojua muhtasari wa masomo (syllabus) hapa huishia kusoma hata mambo yasiyotakiwa.4. Kubanwa na kazi au majukumu ya kifamilia wakati wa maandalizi.5. Kukosa ufahamu wa mifumo mipya ya mitihani, kwa mfano - maswali ya arts siku za leo kwenye essay yanakutaka ujadili pointi chache mfano 4,5,6,7 au 8 kulingana na swali lilivyoulizwa. Hivyo ajibuye mambo mengine na kuongezea kidogo majibu hufeli.Mm nafikiri inachangiwa na mambo yafuatayo:- private candidate hawana continues assesment ambazo zinachukua 50% hivyo yeye anafanyia marks 100-kutokaa darasani -kutojua cha kusoma na cha kuacha-not committed-usahihishaji wa mitihani yao often is violently way -passing mark is above 51(c) o level,bt not sure indeed,mimi nafikiri hizo sababu juu zinapelekea kufeli kwa pc.