inategemeana na culture...kama culture unayoishi mwanaume anaweza kuoa mke wa pilihuwezi kumchukia baba yako akitoka nje,utachukia kama na pesa za matunzo zimepunguatu nyumbani,basi....kwa culture za kizungu,hata baba akitoka nje anaweza kuchukiwa n watotowachina wana msemo,msichana analelewa na baba,halafu anatunzwa na mumewe,halafu mumewe akifaau akiachwa anakuja kulelewa na kaka,na mwisho atalelewa na mwane wa kiume.....na tusisahau kuwa mwanaume na mwanamke sio sawa,ingawa panatakiwa kuwa na usawa....i personally believe in women's rights kuliko gender equality....je mwanamke anaweza kuolewa na waume wawili??????????is it normal?????????