Umenichekesha sana mkuu.Hata goliath sijasikia 😆
Goliathi tunae bhanaaaHata goliath sijasikia [emoji38]
Wapo wengi sana. Goriath, govi, lucifer, God, Jesus, wote hao wapoToka nizaliwe sijawahi sikia mtu akiitwa Delila.
Kwenye delta ya mapenzi anaweza kuwa hatari sana au inakuaje wakuu?
Kuna dogo nampata. Blessed diploma yao aliwaongozea best student.methusella
Woga wa wanawake mbona wanaume wanajiita Yuda,Toka nizaliwe sijawahi sikia mtu akiitwa Delila.
Kwenye delta ya mapenzi anaweza kuwa hatari sana au inakuaje wakuu?