Kwa nini watumiaji wengi wa Tecno na Infinix wanapenda kujaza screen protectors kwenye simu zao?

Unasemaje ukiona tu Simu ina body cover na screen protection unajua hiyo Simu ni ya mwanamke!!? Kwa mtazamo wako mwanaume hapaswi kuilinda Simu yake?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mh sa mi kosa langu hapo lipo wapi? Ailinde mi sina shida naye ila nikiikuta hiyo simu sehemu, labda mezani na yeye hayupo, wazo langu la kwanza ni kwamba hii simu ni ya mwanamke.
 
Mh sa mi kosa langu hapo lipo wapi? Ailinde mi sina shida naye ila nikiikuta hiyo simu sehemu, labda mezani na yeye hayupo, wazo langu la kwanza ni kwamba hii simu ni ya mwanamke.
Na ukimuona mwanaume kashika Simu yenye body cover na screen protector unamchukuliaje!?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni utunzaji tu,,,na usipoweza kutunza hicho kidogo kikubwa utaanzia wapi...na waweza pata soko ukaiuza na kuchukua nyingine chap!!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama ajakuomba hela ya hizo screen guard na cover, unawashwa nini mkuu.
Acha watu wa enjoy na vitu vya vyao
 
tunatofautiana uwezo mkuu...ni kweli sisi maskini huwa simu zetu za techno na infinix tunaziweka protector na cover ili zisiharibike kwa sababu hatuna uwezo wa kununua nyingine...hatupendi haya maisha ya umaskini but ndo ivyo wote hatuwezi kuwa sawa sisi maskini tutaendelea kuwa hivi ingawa tunapambana kutoka kwenye hii hali,aliyeninyima mimi ndo kakupa wewe..god is good all the time
 
Wengi wana simu za 150,000-400,000 lazima alinde zaga lake imemchukua miaka3 kupata hyo kibunda alafu ng'ora ipasuke asee si kisanga...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa ww inakuuma nn mkuu?

Sent using OnePlus 6T Maclaren Edition
 
mtoa mada kakulia mzingira ya kimaskini halafu kashika hela ukubwani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…