Kwa nini wazanzibar wengi wanapenda kujitoa kwenye muungano?

Kwa nini wazanzibar wengi wanapenda kujitoa kwenye muungano?

tpmazembe

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2012
Posts
2,469
Reaction score
586
Nimejifunza kuwa umoja ni Nguvu na utengano ni udhaifu.
Pili nikashangaa kuwa yote ya muungano wazanzibar wanataka yasiwe ya muungano nikashangaa
  • hawataki ulinzi na usalama iwe ya muungano wanataka kujilinda wenyewe
  • hawataki fedha na uchumi wanataka kucontrol uchumi wao
  • hawataki uraia na uhamiaji iwe ya muungano wanataka wawe na passport zao na wamkaribishe wamtakaye
  • hawataki mambo ya nje iwe ya muungano wachague upande wa kufunga mana nao

sasa najiuliza watu hawa mbona hawataki hii zawadi nono ya muungano?
 
there is demonic forces nyuma yake, watu wanapewa access ya ardhi kubwa namna hii na ulinzi bora wanapuuzia.shauri yao.
 
Simply hawautaki muungano,
kila mtu abebe hamsini zake,kwani,kama sisi Tanganyika ndio tunatoa zaidi;ni dhahiri kujitoa kwao ni kuvuja kwa pakacha,nafuu ya mchukuzi!
 
Back
Top Bottom