Kwa nini wazungu wakatili sana?

Kwa nini wazungu wakatili sana?

bukoba boy

JF-Expert Member
Joined
Jan 15, 2015
Posts
5,370
Reaction score
3,962
Nimekua nikitafakari kwa nini wazungu roho zao zinaasi kwa kiasi hiki? Mara nyingi hua naangalia chanel inaitwa investigation discovery hua wanaonyesha sana kesi mbalimbali za wazungu kwa mfano;

BTK killer, huyu jamaa alikua ni serial kila aliua watu 10 kwa mfululizo mpaka akaanza kuleta mchezo na polisi na kuwatumia tip mbalimbali.

Mwanaume mmoja huko Kentucky mwaka 1999 aliteka msichana wa miaka 19 na kisa akamuua na kumchoma moto bila sababu yeyoye ile.

Mvulana mmoja alimuua mama wa girlfriend wake kwa kumkata na kisu cha jikoni na kuficha mwili kwenye buti ya gari sababu alikua hapatani(mama) na binti yake.

Ndugu wawili walipanga kuwaua wazazi wao sababu wanampendelea mdogo wao wa mwisho wakajaa wivu wakaua kwa risasi baba na mama yao.

Mama alieachika katika uhusiano uliopita aliwaua watoto wake wawili wadogo kisa boyfriend mpya hataki watoto.

Hiyo ni baadhi tu nikiandika sana ntawachosha kwani mifano mingine mnaijha kama ushoga,usagaji na mengine yanayofanana na hayo.

Sasa inakuaje watu hawa wawe namna hii ukiangalia kwa hatua yao waliofikia kimaendeleo hawakutakiwa wawe hivi au watakua wamelaaniwa?
 
dah kuwauwa wazazi wawili kisa wivu jamani ngoja tusubirie wanaojua zaidi hata mm napenda kufaham
 
Hawa wajamaa ni wakatili sana, hasa wazungu wa kiarabu.
 
Ukatili siyo kwa wazungu tu, mbona hata huko kwenu ukuryani mnakatana mapanga kila siku kwa sababu za kijinga, mbona mnawakata mikono albino wakiwa hai au mnawauwa kabisa? au mnawachoma moto vibaka kisa wamewakwapulia simu zenu za kichina? hamyaoni?!
 
mtoa mada kama hujielewi hivi
 
Marekani kuna serial killer wengi sana nimeshafatilia sana hii chanel. Wanafanya mauji mtu huwez tegemea na hua hawajutii. Lakini wengi background zao hua wakichunguzwa zinafanana fanana. Sio kua ni makatili lakini ile ni tabia ambayo wanashindwa kuicontrol their emotions minds thinking na desire ya vitu flani au malipizi.
 
au usukumani wanavyokata albino viungo tena wakiwa hai
 
ninachofahamu mimi si wazungu tu! bali ufahamu tu kuhusu maisha ukifahamu vibaya maisha basi utalala hdi mama mzazi.
 
ninachofahamu mimi si wazungu tu! bali ufahamu tu kuhusu maisha ukifahamu vibaya maisha basi utalala hdi mama mzazi.
Nakuunga mkono mkuu. Ukatili umo katika kila jamii bila kujali rangi, hata kwetu kuna mambo mengi ya kikatili, tena mengine ya kutisha yanayotokea ambayo kwa bahati mbaya au nzuri hayajulikani bayana. Labda kwa wenzetu kutokana na maendeleo yao ndio maana vitu vingi tunaviona.
 
Wazungu ni binadamu wenye less melanin, that being the case they're naturally wicked people, hawana mafeelings sana, wanabanjuana sana same sex, kuna conspiracy theory moja inaelezea maneuvers walofanya hadi sasa kuna mashoga weusi wanaanza tokea, some deep stuffs; walivokuwa wanakuja africa enzi hizo wanakuja kujifunza civilization from ancient africa. Mababu zetu waliwaita sons of god, wao waliwaita mababu zetu savages, unaambiwa those time kuna wazungu walipewa maportion ya ardhi for free. Walivoanza usumbufu wazee walihisi ni wajinga tu, haba na haba ikajaza kibaba, ikawa ilivokuwa. We black men are naturally godly men, angalia mizuka ya watu weusi wakiwa kanisani linganisha na mizuka ya makanisa ya kizungu, watu weusi tunapenda jihusisha na Mungu zaidi kuliko other races, this being our weakness, mtu mweupe akaleta dini itayomfanya mtu mweusi kumrefer Mungu na utu weupe, they had to diverge a black man's spiritual dependence to a white man/god ili mtu mweusi awe forever slave to white men despite uhuru tuliopewa directly, that is why hadi now wanatupelekesha indirectly. We're hue man, they're human.

Kifupi wazungu wana phobia ya kutawaliwa kiuhalisia. Mtu mweusi yupo superior physically spiritually and mentally, sio physically to as it is advertised, that fact made em fear us back then hadi sasa.
 
Nimekua nikitafakari kwa nini wazungu roho zao zinaasi kwa kiasi hiki? Mara nyingi hua naangalia chanel inaitwa investigation discovery hua wanaonyesha sana kesi mbalimbali za wazungu kwa mfano;

BTK killer, huyu jamaa alikua ni serial kila aliua watu 10 kwa mfululizo mpaka akaanza kuleta mchezo na polisi na kuwatumia tip mbalimbali.

Mwanaume mmoja huko Kentucky mwaka 1999 aliteka msichana wa miaka 19 na kisa akamuua na kumchoma moto bila sababu yeyoye ile.

Mvulana mmoja alimuua mama wa girlfriend wake kwa kumkata na kisu cha jikoni na kuficha mwili kwenye buti ya gari sababu alikua hapatani(mama) na binti yake.

Ndugu wawili walipanga kuwaua wazazi wao sababu wanampendelea mdogo wao wa mwisho wakajaa wivu wakaua kwa risasi baba na mama yao.

Mama alieachika katika uhusiano uliopita aliwaua watoto wake wawili wadogo kisa boyfriend mpya hataki watoto.

Hiyo ni baadhi tu nikiandika sana ntawachosha kwani mifano mingine mnaijha kama ushoga,usagaji na mengine yanayofanana na hayo.

Sasa inakuaje watu hawa wawe namna hii ukiangalia kwa hatua yao waliofikia kimaendeleo hawakutakiwa wawe hivi au watakua wamelaaniwa?




Ni kwa sababu wenzetu huwa wanaweka rekodi za matukio kama hayo, ndio tunaweza kufahamu hivyo. lakini tatizo la kuwa serial killer linasababishwa na matatizo ya kisaikolojia zaidi, hususan wakati wa utotoni. Wataalam wa saikolojia wanaweza kutusaidia kwa hilo. Ama kuhusu watu weusi, umesahau kuhusu waafrika kusini weusi ambao walikuwa wananyanyaswa na wazungu na kuuwawa ovyo, jamii ya waafrika kutoka nchi nyingine zikawapigania mpaka wakafanikiwa, leo wanadiriki kuwachoma wakiwa hai waafrika wenzao sababu eti warudi katika nchi zao ...!!! Vipi kuhusu ishu ya Al Shabaab na mapambano yao kwa serikali kule somalia ..!! Hapo sijaongelea ile habari ya Al shabaab ambao ni waafrika weusi, walichowafanyia majirani zao wakenya ...!! Matukio ni mengi kwa kweli, na hayana uhusiano na rangi wala utaifa. Serial Killers wapo kila sehemu, na kila rangi.
 
Wazungu sio wakatiri, wakatiri ni viongozi wa kiafrica kazi yao ni kukatalia madarakani na ambao pamoja na kupewa misaada lukuki na wazungu bado hawawezi kutuletea maendeleo tunayostahili....
Barabara walizojenga wazungu ni imara kuliko hizi zinazojengwa kila siku
Wazungu walituachia viwanda na namna ya kuviendesha viongozi wa afrika wameviua
Wametufundisha namna ya kujenga uongozi bora na demokrasia lkn viongozi wa afrika hawataki
Wazungu pamoja na kututawala lkn walikuwa wanwapeleka mababu zetu kwenye shule zenye hadhi nzuri na hawakuwa wabaguzi
LABDA KM ULITAKA KUMAANISHA WAARABU!!!!
 
They document all that happens and create patterns in homicide cases, they have huge data base where these data is available upon request. sisi waafrica on the other hand, hatuna mpangilio wowote waku create patterns from crime, huwa upelelezi wetu ni wa kiwango cha chini sana, uienda gerezani uongee na wafungwa hapo ndipo utajuwa kuna watu wengi innocent wamefungwa kwa kuwa upelelezi uko chini.
Binafsi siamini kuwa wazungu ni wakatili kutushinda sie, we have serial killers but we will never know about them because no pattern was ever created of their crime, angalia jinsi tunavyo treat missing persons.
 
Back
Top Bottom