MY VIEWS.
1.mapungufu ya shule za kata,matatizo ya walimu,ukosefu wa vifaa vya kujifunzia,ukosefu wa vitabu,ubovu wa baadhi ya vitabu,mazingira mengi yasiyostahili NI MATATIZO YALIYOKUWA YANAJULIKANA TOKA ZAMANI.pamoja na matatizo haya kukomaa zaidi lakini yalipata ubatizo na kupewa jina la CHANGAMOTO KATIKA SEKTA YA ELIMU
2.wale wenye uelewa na wanaoona mbali WALIONYA MAPEMA JUU YA ANGUKO LA ELIMU baada ya ujio wa shule za kata.hawa nao wakabatizwa na kupewa jina la WAPINGA-MAENDELEO.
4.kuonyesha serikali ni kiasi gani waliwabeza zaidi wakosoaji wa shule za kata WALITAFTA WANAFUNZI wa shule za kata waliofaulu vizuri KWA KUTUMIA JITIHADA ZAO BINAFISI NA ZA ZIADA,WAKAWAFANYA MAONYESHO BUNGENI,na kuwabeza wale wote waliokosoa.
KIMSINGI HAWAKUTAKA KUSHUGULIKIA MATATIZO HAYA.
KUPANGA UPYA MATOKEO.
hakuna lengo jingine zaidi ya kupoza hasra za watanzania na kuwaaminisha kuwa HAKUKUWA NA TATIZO JINGINE ZAIDI LILE LA KUPANGA MATOKEO.