Kwa nini Yanga mumeamua kututesa mashabiki?

Hakuna mtu yeyote anayeweza kunidhibiti bwana mdogo, hebu angalia Profile yangu hapo juu ndiyo utagundua tofauti kubwa iliyopo kati yangu na nyie wabwatukaji mliongia juzi humu.
Kinachofanya wakongwe wengi humu wapotee ni JF kupoteza mvuto iliyokuwa nayo hapo kabla baada ya kuvamiwa na wabwatukaji kama wewe.
Social Media zenye kujitambua zimekuwa nyingi sio lazima kushinda humu na watoto wadogo kama wewe nadhani umenipata.
 
Hiyo timu Wassira imelala inasubiri kupata amri kutoka mashabiki wenzao wa Yanga ndiyo iamke ifanye kazi ya kudeal na washabiki wa timu pinzani
 

Ahsante Najua Unaipenda sana JF ila BAN zinakupenda zaidi. kuwa kwako kimya sio kuwa eti jf imejaa wabwatukaji sema huwa unachezea BAN za mara kwa mara ndio maana huwa huonekani. Jaribu kuchange tabia ili uendane na wenzano, unamsikitisha sana Mikia wenzako hasa bwana sembo
 
Last edited by a moderator:

 

 

Hamaaaaaa hata kesho.... Mbona Mussa Hassan Mgosi alipiga picha na bango LA Magufulaei!!!??? Acha unyumbu boya wewe
 

Nimekusamehe bure kibabu cha marekani. I know sio wewe huyo ila ni stress za maisha. Kurudi home na kuanza upya si utumwa pole sana.

USA USA USA USA USA BABY HUKU UNAKUFA NA TAI SHINGONI.

Wenzako walio state sasahivi miguu juu kula raha wewe kutwa JF Pole sana. Ushapotea ila liwe funzo hakikisha utakaowaacha hawarudii makosa uliyofanya
 

 

Nimekusamehe bure kibabu cha marekani. I know sio wewe huyo ila ni stress za maisha. Kurudi home na kuanza upya si utumwa pole sana.

USA USA USA USA USA BABY HUKU UNAKUFA NA TAI SHINGONI.

Wenzako walio state sasahivi miguu juu kula raha wewe kutwa JF Pole sana. Ushapotea ila liwe funzo hakikisha utakaowaacha hawarudii makosa uliyofanya
 

 
Hahahaaaaaaaaaa...unadhani zikikupenda wewe zaidi basi ni kila mtu. Pumzika kwa amani huko kuzimu ulikopelekwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…