Kwa nini?

Kwa nini?

eyetyna

Senior Member
Joined
Jun 24, 2011
Posts
148
Reaction score
17
Ni kwanini unapomuhitaji mtu kwa siku za husoni unakuwa karibu sana na yeye then baada ya muda unaanza kuwa bize?
Mara unaanza kuwa bize,simu zake hupokei,visingizio vingi,mara hili mara ile?ili mradi tu uwe mbali nae,sasa SIJUI NI KWAMBA MTU ANAPANGA AMA NDO INATOKEA TU?
 
Sijakuelewa,...ngoja ntarudi nikisha kunywa chai
 
unakuwa karibu nae kwa lipi? Kuwa specific upate michango ya abiria.
 
Ni kwanini unapomuhitaji mtu kwa siku za husoni unakuwa karibu sana na yeye then baada ya muda unaanza kuwa bize? Mara unaanza kuwa bize,simu zake hupokei,visingizio vingi,mara hili mara ile?ili mradi tu uwe mbali nae,sasa SIJUI NI KWAMBA MTU ANAPANGA AMA NDO INATOKEA TU?
FB hawajambo?
 
Back
Top Bottom