IGWE JF-Expert Member Joined Feb 3, 2011 Posts 9,578 Reaction score 7,774 Oct 12, 2011 #21 jicho la 3 said: utawajua tu................ Click to expand... kwa rangi zao.
K kingmajay Member Joined Jul 22, 2011 Posts 72 Reaction score 6 Oct 12, 2011 #22 angomwile said: hivi kwanini napotongoza mwanamke napata shida kumfukuzia halafu nikishampata,nikilala nae nimpe hela wakati raha tunapata wote?kwanini? Click to expand... Hapo kwa red, wewe ulitaka umpe nini? Au unadhani alikuja kwako kupata raha? Hawa mabinti wa kileo huwa hawafuati raha, ni fweza tu man.
angomwile said: hivi kwanini napotongoza mwanamke napata shida kumfukuzia halafu nikishampata,nikilala nae nimpe hela wakati raha tunapata wote?kwanini? Click to expand... Hapo kwa red, wewe ulitaka umpe nini? Au unadhani alikuja kwako kupata raha? Hawa mabinti wa kileo huwa hawafuati raha, ni fweza tu man.
Leonard Robert JF-Expert Member Joined Apr 22, 2011 Posts 11,125 Reaction score 7,373 Oct 12, 2011 #23 jukwaa ili nyodo nyingi bahati nzuri ASHADII kachangia hapo mwanzo tofauti na hapo sijui ingekuaje.