Elections 2010 kwa nini ?

Kana Amuchi

Member
Joined
Jul 21, 2009
Posts
70
Reaction score
15
Kwa nini majimbo ambayo CCM wanashinda yanatangazwa mara moja na yale ambayo wameshindwa hayatangazwi? kuna nini? ina maana hadi muda huu hakuna hata jimbo moja limetangazwa kuwa wameshindwa baada ya lile la Musoma?
 
kwa nini majimbo ambayo ccm wanashinda yanatangazwa mara moja na yale ambayo wameshindwa hayatangazwi? Kuna nini? Ina maana hadi muda huu hakuna hata jimbo moja limetangazwa kuwa wameshindwa baada ya lile la musoma?

Yawezekana wanahesabu upya Mtatangaziwa baada ya NEC kujirizisha
 
Kwa nini majimbo ambayo CCM wanashinda yanatangazwa mara moja na yale ambayo wameshindwa hayatangazwi? kuna nini? ina maana hadi muda huu hakuna hata jimbo moja limetangazwa kuwa wameshindwa baada ya lile la Musoma?

MKUU, jimbo la kwanza kutangazwa matokeo rasmi ni Musoma Mjini; je ni CCM ndio wameshinda?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…