Kwa nini majimbo ambayo CCM wanashinda yanatangazwa mara moja na yale ambayo wameshindwa hayatangazwi? kuna nini? ina maana hadi muda huu hakuna hata jimbo moja limetangazwa kuwa wameshindwa baada ya lile la Musoma?
kwa nini majimbo ambayo ccm wanashinda yanatangazwa mara moja na yale ambayo wameshindwa hayatangazwi? Kuna nini? Ina maana hadi muda huu hakuna hata jimbo moja limetangazwa kuwa wameshindwa baada ya lile la musoma?
Kwa nini majimbo ambayo CCM wanashinda yanatangazwa mara moja na yale ambayo wameshindwa hayatangazwi? kuna nini? ina maana hadi muda huu hakuna hata jimbo moja limetangazwa kuwa wameshindwa baada ya lile la Musoma?