Kwa nukuu hii, jaji wa kesi ya Sabaya, moja ya majaji bora nchini

Kwa nukuu hii, jaji wa kesi ya Sabaya, moja ya majaji bora nchini

Etwege

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2018
Posts
7,207
Reaction score
17,674
Jaji Wa Mahakama Kuu anashangaa aina ya Hukumu iliyoandikwa na Mhe. Odira ambyo ilikuwa haina Hata Legal Citation Wala Case Authority Kujenga hoja yake.
.
Jaji anasema Hukumu yoyote Ambayo Haina Case Authority au Legal Citation Hyo Sio Hukumu Bali ni Mawazo binafsi ya Mwandika Hukumu
 
Haya yalitokea kwa Jaji Tiganga na waliomtangulia katika hukumu za kesi ndogo za Mbowe
 
Jaji wa kwanza alifuata maelekezo, Jaji wa pili pia amefuata maelekezo.

Alietoa maelekezo kwa jaji wa kwanza, ndie alietoa maelekezo kwa jaji wa pili.

Ghafla mmesahau kuzungumzia mfumuko wa bei. Hiyo ndio siasa bana!
 
Ndiyo maana Sabaya is free now
 
Back
Top Bottom