Daud omar
JF-Expert Member
- Apr 4, 2011
- 2,458
- 983
Habari zenu wandugu
"DOOM HAINA MSHINDO"
--Moja kwa moja kwenye maada husika, unajua katika hi nchi kuna watu wapo kwajili ya kuwapotezea wenzao muda kutokana na kutoka kuwajibika kwao, hebu tufikirie na kutafakari kunavyuo vikuu tayari vimefungua na wanafunzi wamesharipoti na tayari wamaeanza kulipia baadhi ya malipo kama vile ada, pango la nyumba kwa wale waliokosa hosteli na pia wametumia nauli zao wakitokea sehemu mbali mbali za nchi yetu,
Na kuna vyuo vyengine vimetangaza vitafungua mapema mwezi ujao, kwahyo wanafunzi tayari wameshatumia gharama zao kwa maandalizi ya kujiunga na vyuo hivyo,
--Sio kama tunapinga amri ya jeshi tunajua wao ndio wenye mamlaka na uamuzi wa juu katika nchi, tunawaheshimu, tunawashkuru kwa kutulinda sisi na amani yetu na daima tutakuwa watiifu kwenu.
--Sasa kutokana na taarifa iliyotoka kutoka Jeshi la kujenga taifa (JKT) na sis wanafunzi pia tunatakiwa kutoa tamko letu amblo kwa sasa ni HAPANA JKT alfu sema masomo kwanza JKT Baadae...
---KWA PAMOJA TUNAWEZ
"DOOM HAINA MSHINDO"
--Moja kwa moja kwenye maada husika, unajua katika hi nchi kuna watu wapo kwajili ya kuwapotezea wenzao muda kutokana na kutoka kuwajibika kwao, hebu tufikirie na kutafakari kunavyuo vikuu tayari vimefungua na wanafunzi wamesharipoti na tayari wamaeanza kulipia baadhi ya malipo kama vile ada, pango la nyumba kwa wale waliokosa hosteli na pia wametumia nauli zao wakitokea sehemu mbali mbali za nchi yetu,
Na kuna vyuo vyengine vimetangaza vitafungua mapema mwezi ujao, kwahyo wanafunzi tayari wameshatumia gharama zao kwa maandalizi ya kujiunga na vyuo hivyo,
--Sio kama tunapinga amri ya jeshi tunajua wao ndio wenye mamlaka na uamuzi wa juu katika nchi, tunawaheshimu, tunawashkuru kwa kutulinda sisi na amani yetu na daima tutakuwa watiifu kwenu.
--Sasa kutokana na taarifa iliyotoka kutoka Jeshi la kujenga taifa (JKT) na sis wanafunzi pia tunatakiwa kutoa tamko letu amblo kwa sasa ni HAPANA JKT alfu sema masomo kwanza JKT Baadae...
---KWA PAMOJA TUNAWEZ